Bwana Kimbunga
Member
- Nov 28, 2012
- 28
- 5
Wabunge hawa wa Chadema ni Janga La Taifa, tuhakikishe mwaka 2015 hawarudi bungeni kutuwakilisha because wame prove failure katika majimbo yao.....ni jambo la kusikiktisha sana kuona John Mnyika Mbunge wa Ubungo anaemaliza muda wake amefeli kabisa ku address na ku solve tatizo la Maji katika jimbo lake....yaani inasikitisha sana katika dunia hii kuona mbunge ambaye anashindwa kujua matatizo ya jimbo lake lakini yuko mstari wa mbele katika kuhakikisha anapangwa na Chama katika safari za kufungua matawi ya Chadema huko Marekani na Ulaya.....Sasa John Myika Hizo Safar Za Kufungua Matawi zina Tija Gani kwa Wakazi Wa Ubungo...huo ni upuuzi na udhaifu wa hali juu....na kwa taarifa yako mwaka 2015 haurudi bungune coz ww ni janga kwa sisi wakazi wa Ubungo....ume prove failure na kuanzia tarehe 1.1.2013 nitaanzisha petition ya kukusanya sahihi za wakazi wa Ubungo ya kukosa imani na wewe.......nawaasa wananchi wenzangu tuamke hawa CHADEMA hawana lolote ni wanafiki wakubwa na wanatutumia kama ngazi ya kujinufaisha wao wenyewe na familia zao...
Wabunge wafuatao nao ni Janga la Taifa
1. Halima Mdee
2.Peter Msigwa
3.Joseph Mbilinyi
4.David Silinde
5.Freeman Mbowe
NATABIRI KIFO CHA CHADEMA KABLA YA MWAKA 2015......