Nakushauri utembelee kijiji cha Msoga nyumbani kwake Kikwete uone tofauti kati ya Hekalu lake na full suit (Kigoma zinaitwa ngondano) na nyumba nyingi kijijini hapo zinazoonyesha ufukura uliokithiri. Watanzania wengi hali zao ni mbaya sana, wengi hawana hata uhakika wa milo miwili kwa siku. Huwezi amini utajiri wa raslimali zilizopo nchini.
Kumbuka Kikwete nini mwenyekiti wa CCM. Kwa maelezo yako ni kwamba CCM hawafai kuongoza Tanzania tena.
Nakushuri uwe unakumbuka kunawa uso kabla ya kuja JF.
Kumbuka Kikwete nini mwenyekiti wa CCM. Kwa maelezo yako ni kwamba CCM hawafai kuongoza Tanzania tena.
Nakushuri uwe unakumbuka kunawa uso kabla ya kuja JF.