bishankara
Senior Member
- Feb 21, 2012
- 140
- 8
Gazeti la nipashe la tar 7 june, 2013 limemnukuu mbunge wa Mbozi magharibi bungeni, na haya ni maneno yake 'Zoezi la uandikishaji wa vitambulisho vya taifa limekuwa likiendelea lakini hadi sasa ni viongozi tu ndiyo ambao wameshakabidhiwa vitambulisho' Je, hapa kuna ukweli wowote? Mbona kuna baadhi ya taasisi washapewa vitambulisho? Au watumishi wote wa serikali ni viongozi?