johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Kwa nyakati tofauti bungeni Dr Kimei ma Tarimba Abbas wamempongeza waziri wa fedha Dr Mwigullu kwa ubunifu wake wa kutoongeza kodi kwenye Pombe na Soda kama ilivyozoeleka
Wamesema ubunifu huu ni mzuri kwani watu wanaokunywa wataongezeka na hivyo mapato ya Serikali kuongezeka sawia
Chanzo: Star tv bungeni
Wamesema ubunifu huu ni mzuri kwani watu wanaokunywa wataongezeka na hivyo mapato ya Serikali kuongezeka sawia
Chanzo: Star tv bungeni