Wabunge chadema mmetokota

kara

Member
Nov 4, 2010
6
0
Penye ukweli unazi hauna nafasi sikia nyie madogo hawa wawakilishi wa wnanchi wametumwa bungeni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao na si maigizo wanayofanya ka wanataka fani si wakajiunge the comedy.huo ni ubinafsi mkubwa waliouonyesha na pia unatia shaka kama wako kwenye kutafuta uwakilishi wa dhati au umaarufu binafsi wakati mwingine mbowe anasahau anazani yuko bilicanas mbowe stop non sense hicho kiwanja kingine ya bills peleka bills.embu leteni jibu la swali hili
je upinzani wa chadema ni dhidi ya serikali gani?au dhidi ya wabunge wenzao?mlienda kufanya nini kwenye mnuso?
 
Penye ukweli unazi hauna nafasi sikia nyie madogo hawa wawakilishi wa wnanchi wametumwa bungeni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao na si maigizo wanayofanya ka wanataka fani si wakajiunge the comedy.huo ni ubinafsi mkubwa waliouonyesha na pia unatia shaka kama wako kwenye
kutafuta uwakilishi wa dhati au umaarufu binafsi wakati mwingine mbowe anasahau anazani yuko bilicanas mbowe stop non sense hicho kiwanja kingine ya bills peleka bills.embu leteni jibu la swali hili
je upinzani wa chadema ni dhidi ya serikali gani?au dhidi ya wabunge wenzao?mlienda kufanya nini kwenye mnuso?
INAONEKANA UJAELEWA WHY WAL WALK OUT!wao wanapinga JK kama Rais na sio Serikali.Serikali milele ipo ajalishi juu kuna chama gani,upo apo? So mfano ata kama CUF wangeingia mjengoni pale Kivukoni,wizara,polisi nk zingekuwepo.so CHADEMA awamkubali JK as Presdent wa Tanzania
 
Haya bwana, uwezo wako wa kufikiri unakuonesha wanatafuta umaarufu.......... Kama njia waliotumia haifai shauri njia mbadala.

Nakukumbusha bwana makamba alisema hivi ni vyama vya msimu, nadhani sasa anatafakari..... Nawewe muda wako wa kutafakari utafika
 
Wewe kweli unahitaji at bit of experience; ondoa hiyo nonsense yako; tumeshakwenda mbele kwenye hiyo issue; wewe ndio unaamka kwenye usingizi? Wewe umetumwa na hao wapiga kuwa waliowachagua wabunge wa chadema? Hujui unalilisema, jifunza kwanza kabla hujaleta hoja hapa, bado wewe mgeni, soma arguments kwenye threads, learn and then if you think you are matured enough to argue, you may write but I suggest to seek a second opinion. Pole sana kwa kuwa karne ya 19
 
wewe hujui hata unachokiongea umekalia kubonyeza hiyo keyboard tu, nenda kalale kesho shule
Penye ukweli unazi hauna nafasi sikia nyie madogo hawa wawakilishi wa wnanchi wametumwa bungeni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao na si maigizo wanayofanya ka wanataka fani si wakajiunge the comedy.huo ni ubinafsi mkubwa waliouonyesha na pia unatia shaka kama wako kwenye kutafuta uwakilishi wa dhati au umaarufu binafsi wakati mwingine mbowe anasahau anazani yuko bilicanas mbowe stop non sense hicho kiwanja kingine ya bills peleka bills.embu leteni jibu la swali hili
je upinzani wa chadema ni dhidi ya serikali gani?au dhidi ya wabunge wenzao?mlienda kufanya nini kwenye mnuso?
 
Penye ukweli unazi hauna nafasi sikia nyie madogo hawa wawakilishi wa wnanchi wametumwa bungeni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao...
Siku hiyo hakukuwa na hoja za kuchangia, ilikuwa ni kusikiliza tu hotuba. Kama haujui kazi iliyokuwapo siku hiyo, ni vyema uulize kwanza badala ya kuanza kulaumu. Au wabunge wa CCM walichangia hoja za matatizo ya wananchi wao siku hiyo? Mimi sikuona. Kama ni michango ya bungeni, subiri moto February! Nakuambia Makinda na mawaziri watakiona kiti kichungu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom