Penye ukweli unazi hauna nafasi sikia nyie madogo hawa wawakilishi wa wnanchi wametumwa bungeni kuwakilisha mawazo ya wapiga kura wao na si maigizo wanayofanya ka wanataka fani si wakajiunge the comedy.huo ni ubinafsi mkubwa waliouonyesha na pia unatia shaka kama wako kwenye kutafuta uwakilishi wa dhati au umaarufu binafsi wakati mwingine mbowe anasahau anazani yuko bilicanas mbowe stop non sense hicho kiwanja kingine ya bills peleka bills.embu leteni jibu la swali hili
je upinzani wa chadema ni dhidi ya serikali gani?au dhidi ya wabunge wenzao?mlienda kufanya nini kwenye mnuso?
je upinzani wa chadema ni dhidi ya serikali gani?au dhidi ya wabunge wenzao?mlienda kufanya nini kwenye mnuso?