Wabunge chadema mkomae hakuna kulala

domo kweli

Member
Nov 5, 2010
11
0
Spika ndo huyo, SS EM wanaanda mpango wa 2015 kwa wateule wao wenye uchu wa madaraka hata kwa kudhani wa TZ ni mafara wa karne hii.Wabunge CHADEMA hakuna kulaza damu,wasomi kibao,uwezo wa kujenga hoja ndo usiseme jambo la msingi ni kuwa na hoja zenye utafiti wa kina na Data za uhakika kupiga support hoja hizo.Hakika hata huyo Mama Spika angekuwa jeuri wa kiwango gani katika kuzima hoja hizo, atakwama tu.DR wa ukweli ni mfano hai choteni hazina.Tunataka Bunge hai.
 
Spika ndo huyo, SS EM wanaanda mpango wa 2015 kwa wateule wao wenye uchu wa madaraka hata kwa kudhani wa TZ ni mafara wa karne hii.Wabunge CHADEMA hakuna kulaza damu,wasomi kibao,uwezo wa kujenga hoja ndo usiseme jambo la msingi ni kuwa na hoja zenye utafiti wa kina na Data za uhakika kupiga support hoja hizo.Hakika hata huyo Mama Spika angekuwa jeuri wa kiwango gani katika kuzima hoja hizo, atakwama tu.DR wa ukweli ni mfano hai choteni hazina.Tunataka Bunge hai.


Na hivi wamenyimwa kura na CUF, kitaeleweka bungeni. Na sisi umbea wa mtaani tunawapa.
 
Mimi nadhani CUF NCCR UDP na TLP siyo tatizo,kwanza sidhani kama viko
recognised vizuri kwenye jamii,wanachotafuta sasa ni recognitation ambayo
kwangu mimi naona kama chadema wameshaanza kufanikiwa kuipata.
Kinachotakiwa ni kupambana kwa kwenda mbele Mfano. Mrema hana jipya
anasubiri muda tu wake ufike hawa wengine wa CUF itabidi ipendekezwe
hoja ya TANGANYIKA nasi tuwe na wakutusemea, Kama Zanzibar( Unguja
na Pemba) inasemekana ni ndogo ukilinganisha na wilaya ya Temeke lakini
ina Rais ,Makamu wa Rais wawili, mawaziri, wakuu wa mikoa na wa wilaya, wabunge
wa kwao na wanaokuja bara eti kuwakilisha muungano ilihali eneo kama hilo huku
bara tuna mkuu wa wilaya akisaidiwa na mkurugenzi na wabunge wa siozidi watano
kama nitakuwa sahihi, then tunawabembeleza wa nini? Kwa maoni yangu CHADEMA
wasitetereke ili picha halisi ya mapungufu ya Muungano.
 
Namaanisha kuwa hana jipya,sioni kama atakuwa na mchango wowote kwa umma wa
walala hoi wa Tanganyika,
 
Spika ndo huyo, SS EM wanaanda mpango wa 2015 kwa wateule wao wenye uchu wa madaraka hata kwa kudhani wa TZ ni mafara wa karne hii.Wabunge CHADEMA hakuna kulaza damu,wasomi kibao,uwezo wa kujenga hoja ndo usiseme jambo la msingi ni kuwa na hoja zenye utafiti wa kina na Data za uhakika kupiga support hoja hizo.Hakika hata huyo Mama Spika angekuwa jeuri wa kiwango gani katika kuzima hoja hizo, atakwama tu.DR wa ukweli ni mfano hai choteni hazina.Tunataka Bunge hai.
Kweli kumekucha. Karibu lakini hapo kwenye nyekundu, pachunge sana. Inabidi uwe na lugha za kiutu uzima!
 
Chadema kuweni makini kuweni kama timu pamoja ili mfanye mambo ya kikubwa.jamani epueni rushwa. CCm wanaendelea kugawa hela watu wawasaliti. ACHENI KULA RUSHWA
 
Namaanisha kuwa hana jipya,sioni kama atakuwa na mchango wowote kwa umma wa
walala hoi wa Tanganyika,
Kwa sasa CUF tayari wapo na CCM ktk serikali ya mseto, na wamekasririshwa na statement za some of the Chademans,

So kuna kila uwezekano wa Makinda naye kutumia uzaifu huo kukandamiza na kudumaza upinzani

Chadema be very careful!!!
 
Na hivi wamenyimwa kura na CUF, kitaeleweka bungeni. Na sisi umbea wa mtaani tunawapa.

Cha maana hapa ni kutuliza hasira na kujipanga, maana vita ya panzi furaha ya kunguru. Mpiganapo CUF na chadema CCM wanazidi kujijenga. So acheni hayo. toeni hoja za msingi wananchi wawaamini.
 
Back
Top Bottom