nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
wakiongozwa na richard ndassa na zungu,wamesema hawakuwa na kikao au mpango wowote wa kumpindua rais kama ilivyoripotiwa na gazeti la mwanahalisi..
wadai mwenyekiti katika kikao cha kum-impeach rais ni waziri mkuu ambaye ameteuliwa na rais hivyo hawezi kuongoza kkao hicho
wasema mlolongo wake ni mrefu na usipokuwa makini unaweza kuishia jela...
wadai mwenyekiti katika kikao cha kum-impeach rais ni waziri mkuu ambaye ameteuliwa na rais hivyo hawezi kuongoza kkao hicho
wasema mlolongo wake ni mrefu na usipokuwa makini unaweza kuishia jela...