Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Haiwezekani mtu atumie mabilioni ya pesa za walipa kodi bila kukaguliwa!Ukiachana na zile anazopangiwa katika bajeti,Rais amekuwa akibadili matumizi ya pesa kwenye bajeti na kupeleka kwenye fungu lake!Halafu hakaguliwi,huu utaratibu gani?Nani alitunga sheria hiyo na kwa manufaa ya nani?
Ni wakati sasa wa kurekebisha makosa!
NB:Mimi huwa naudhika sana pale napomuona akitawanya fedha kwa sifa kama za kwake!Nilishangaa siku anawapa taifa stars milioni 50,kwa sifa eti anaomba begi la hela na anaanza kuwahesabia mbele ya kamera na kuwakabidhi!
Kwani angewapa cheki angepungua nini au ujiko usingenoga??
Ni wakati sasa wa kurekebisha makosa!
NB:Mimi huwa naudhika sana pale napomuona akitawanya fedha kwa sifa kama za kwake!Nilishangaa siku anawapa taifa stars milioni 50,kwa sifa eti anaomba begi la hela na anaanza kuwahesabia mbele ya kamera na kuwakabidhi!
Kwani angewapa cheki angepungua nini au ujiko usingenoga??