babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,091
- 15,983
Hawa waheshimiwa mi naona kazi yao ni kugonga meza tu, hawajengi hoja,
hawahoji chochote, labda juzi ndo nimemuona mwana FA kauliza swali rahisi sana na kujibiwa palepale.
Hawa wabunge ni vijana wajaribu kuwa wabunifu kwa kuamsha amsha hiyo serikali katika kila jambo.
Sio kukaa tu pale na kugonga meza tu.
Sugu alikuwemo mule na aliwapeleka haswa.
Professor Jay alikuwemo lakini kama hawa,
Hitimisho
Tafadhalini sana tuko mtaani huku mjenge hoja za msingi zifanyiwe kazi,
Sio kukaa tu huko mnakula posho, mshahara mil 11 na pensheni mil 200+ wakati kazi yenu kugonga meza tu.
Hiyo hata mtoto wangu anaweza fanya.
hawahoji chochote, labda juzi ndo nimemuona mwana FA kauliza swali rahisi sana na kujibiwa palepale.
Hawa wabunge ni vijana wajaribu kuwa wabunifu kwa kuamsha amsha hiyo serikali katika kila jambo.
Sio kukaa tu pale na kugonga meza tu.
Sugu alikuwemo mule na aliwapeleka haswa.
Professor Jay alikuwemo lakini kama hawa,
Hitimisho
Tafadhalini sana tuko mtaani huku mjenge hoja za msingi zifanyiwe kazi,
Sio kukaa tu huko mnakula posho, mshahara mil 11 na pensheni mil 200+ wakati kazi yenu kugonga meza tu.
Hiyo hata mtoto wangu anaweza fanya.