mrelbattawy
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 564
- 112
Nimejaribu kupitia Rasimu nimeona hili la wabunge wa Jamuhuri ya Muungano watakuwa 70, Tanganyika itatoa 50 na Zanzibar 20 ukiacha wale wa kuteuliwa na Rais kuwakilisha watu wenye ulemavu na wengine mmoja mmoja kuwakilisha m'me na m'ke katika majimbo ya uchaguzi.,
Ivi warioba na tume yake hapa kweli walitenda haki? mana ukiisoma Rasimu inazungumza wazi wazi ni shirikisho la nchi 2., inakuwaje nchi moja 50 nyengine 20??
Mbona hawa Tanganyika wanataka kuendelea kutuburuza tena kwene bunge? Ivi burundi nchi ndogo lakini inawakilisha wabunge sawa na nchi kubwa kwenye muungano wa afrika., inakuwaje Muungano huu wa Tanzania?
Nimeskia Kenya na Unganda wamevutiwa na Muungano huu uliotoka kwenye rasimu wa Tanzania wanataka kujiunga lakin sasa itakuwaje kwa mgao huu wa wabunge??
Ivi warioba na tume yake hapa kweli walitenda haki? mana ukiisoma Rasimu inazungumza wazi wazi ni shirikisho la nchi 2., inakuwaje nchi moja 50 nyengine 20??
Mbona hawa Tanganyika wanataka kuendelea kutuburuza tena kwene bunge? Ivi burundi nchi ndogo lakini inawakilisha wabunge sawa na nchi kubwa kwenye muungano wa afrika., inakuwaje Muungano huu wa Tanzania?
Nimeskia Kenya na Unganda wamevutiwa na Muungano huu uliotoka kwenye rasimu wa Tanzania wanataka kujiunga lakin sasa itakuwaje kwa mgao huu wa wabunge??