HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,509
duu , ndo maana makundi ya waasi hayawezi kuisha africa! Dhulma
Hapana majimbo mengi yameongezwa kisiasa hayana tija wabunge wapo bungeni miaka nenda miaka rudi na matatizo ya wananchi majimboni mwao ni yale yake kwa miaka yote sasa wakazi gani?kujadili jambo kwa kutumia furaha sana au uchungu sana hutoa matokeo yasiyofaa....