Wabunge 19 Spika Ndugai na Msajili, kwani vipi?

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,083
5,066
Baada ya uchaguzi wa mwaka jana vumbi kubwa lililobaki ni hili la kuhusu wabunge 19 ambao Chama chao hakiwatambua. Siku za mwanzo za sakata hili spika Ndugai alirudia mara kwa mara kuwa atawalinda na wasiwe na wasiwasi.

Kamati kuu ya chama chao ikawafuta uanachama na ikawapa fursa ya kukata rufaa Baraza kuu. Spika ndugai akajitokeza tena akihitaji proceedings za kuwafuta uanachama.

Juzi Msajili ameingilia naye jambo hilo na kwa uelewa wangu
  1. Hakuna anayeweza kubadili msimamo wa spika (ndani na nje ya bunge)
  2. Pamoja na sakata lote hili wabunge hawa wameendelea kuwepo bungeni na kupokea stahiki zote za ubunge
  3. Hata Baraza kuu litabariki uamuzi wa kamati kuu bado Spika ana uwezo wa kuwaweka bungeni kwa miaka minne iliyobaki
Kwa nini Msajili wa vyama aingilie mahali ambapo tayari wabunge 19 na Spika tayari ni washindi? Na kwa namna yoyote Chadema hawana uwezo wa kubadili maamuzi kama ilivyokuwa kwa Mwambe.

Wakati mwingine kuna watu 'wanawashwa' in late JPM tone!
 
Waacheni walipwe kwa kodi za uzalendo kupitia simu.

Ndugai anajua sheria za mbunge ndio maana anawalinda ili mabeberu waamini kuna demokrasia.

Lissu ni adui kwakuwa huko nje anaongea ukweli,hivyo mchanganyeni hauwezi isha.
 
Sisi wachangie tuseme nini sasa?

Je, tuseme:

"NDIYOOOO" kama ishara ya kukubaliana na hoja yako?

au

Tuseme "HAPANAAA" kama ishara kukataa/kutokukubaliana na hoja yako?

au

Tuwaambie CHADEMA, achaneni na mambo hayo kwa sababu Spika na Msajili wa vyama vya siasa ni washindi?

NOTE:

Mignon;
Mpaka sasa kwenye ishu ya hawa COVID - 19, CHADEMA ni washindi kwa goli 5 dhidi ya 0 za Spika na Msajili wa vyama vya siasa. Hakuna namna wanaweza kurudisha goli hizi zote maana dakika ni ya 90 na tumo kwenye additional time ya DKK 3 tu!

Why?

Because, wameshakiona kitanzi chao huko mbeleni. Kuvunja au kukiuka katiba ya nchi kwa makusudi ni jinai kubwa kuliko zote. Hii haitawaacha salama. Hata kama lazima kufa, hawa waipojirekebisha, HAKIKA WATAKUFA!!

Spika Ndugai ameshaamua ku - surrender kwa sababu haoni nuru mbeleni bali anachokiona ni kiza kinene hatari.

Badala yake kaamua kumpasia mpira Registrar of Political Parties, ili naye ajaribu kuliamusha Dude. Msajili baadaye (labda) atawapasia NEC nao wajaribu kuliamusha DUDE

Very unfortunately kwao wote ni kuwa, CHADEMA wana akili kuliko wao wote. Wenzao wanaona mita kadhaa mbele huku wao uono wao ukiishia kwenye vitovu vya matumbo yao kwa sababu wamepumbazwa na kula, kunywa na kusaza huku wakijamba jamba hovyo na shibe ya dhuluma na damu za watu.

In short, ni ngumu mno CHADEMA kuingia kwenye mtego wa maCCM uliowazi hata kwa kichaa kuuona na kisha kuukwepa kirahisi tu.

Makosa ya kikatiba hayarekebishwi kwa staili hii. Marekebisho ya makosa ya kikatiba hufanyika kwa kuwaadhibu wanaoinajisi hiyo katiba bila kuwaonea huruma ili watambue katiba ni supreme authority ya nchi, hapaswi mtu yeyote kuidharau kwa kuikojolea mkojo wake mchachu!
 
Je kinachompa Ndugai kiburi hiki ni katiba mbovu iliyopo?

Kwa katiba hii wanaumbwa miungu watu ndani ya nchi ambao ni wabaya kuliko hata mkoloni.

Kuna watu watz wenzetu wamepoteza kabisa mwelekeo, wanashamgilia HATA kurudishwa utumwani, alimradi kumefanywa na CCM.
 
Nani mwenye mkojo mchachu?
Umepima wapi?
CHADEMA, CCM, CUF, NCCR, CHAUMA, ACT nk
Nani mjanja
Nani mhuni
Nani muuaji
Nani mchonganishi
Nani mchochezi
Nani gaidi
 
Sisi wachangie tuseme nini sasa?

Je, tuseme:

"NDIYOOOO" kama ishara ya kukubaliana na hoja yako?

au

Tuseme "HAPANAAA" kama ishara kukataa/kutokukubaliana na hoja yako?

au

Tuwaambie CHADEMA, achaneni na mambo hayo kwa sababu Spika na Msajili wa vyama vya siasa ni washindi?

NOTE:

Mignon;
Mpaka sasa kwenye ishu ya hawa COVID - 19, CHADEMA ni washindi kwa goli 5 dhidi ya 0 za Spika na Msajili wa vyama vya siasa. Hakuna namna wanaweza kurudisha goli hizi zote maana dakika ni ya 90 na tumo kwenye additional time ya DKK 3 tu!

Why?

Because, wameshakiona kitanzi chao huko mbeleni. Kuvunja au kukiuka katiba ya nchi kwa makusudi ni jinai kubwa kuliko zote. Hii haitawaacha salama. Hata kama lazima kufa, hawa waipojirekebisha, HAKIKA WATAKUFA!!

Spika Ndugai ameshaamua ku - surrender kwa sababu haoni nuru mbeleni bali anachokiona ni kiza kinene hatari.

Badala yake kaamua kumpasia mpira Registrar of Political Parties, ili naye ajaribu kuliamusha Dude. Msajili baadaye (labda) atawapasia NEC nao wajaribu kuliamusha DUDE

Very unfortunately kwao wote ni kuwa, CHADEMA wana akili kuliko wao wote. Wenzao wanaona mita kadhaa mbele huku wao uono wao ukiishia kwenye vitovu vya matumbo yao kwa sababu wamepumbazwa na kula, kunywa na kusaza huku wakijamba jamba hovyo na shibe ya dhuluma na damu za watu.

In short, ni ngumu mno CHADEMA kuingia kwenye mtego wa maCCM uliowazi hata kwa kichaa kuuona na kisha kuukwepa kirahisi tu.

Makosa ya kikatiba hayarekebishwi kwa staili hii. Marekebisho ya makosa ya kikatiba hufanyika kwa kuwaadhibu wanaoinajisi hiyo katiba bila kuwaonea huruma ili watambue katiba ni supreme authority ya nchi, hapaswi mtu yeyote kuidharau kwa kuikojolea mkojo wake mchachu!
Nimetafuta pa kugonga thanks hata tatu nimekosa.Asante mno kwa ufafanuzi
 
Dili hili la aibu likifanyika kipindi cha mwendazake kama ilivyokuwa kawaida yake ya kuvunja vifungu vya katiba kwa mamlaka aliyokuwa nayo...yaani utemi utemi.

Nani Tanzania hii asiyelijua hilo dili, mambo mengine CCM mume mnafikiri kidogo kabla yakutenda - nyie ndiyo wasimamizi wa hii dola - hili jambo ni la aibu kubwa..
Sasa mnataka kumwangusia jumba bovu mama wa watu siyo!!
 
Mama angeweza kutoidhinisha mishahara ya Covid 19. Kama ambavyo hawakuidhinisha malipo ya lissu.
Huo mchezo ungewafanya wasihudhurie vikao vya mbunge
Kisha Jobo kuwafukuza kwa utoro(wangekwepa aibu 0.5% ya uhuni wao)
 
Baada ya uchaguzi wa mwaka jana vumbi kubwa lililobaki ni hili la kuhusu wabunge 19 ambao Chama chao hakiwatambua. Siku za mwanzo za sakata hili spika Ndugai alirudia mara kwa mara kuwa atawalinda na wasiwe na wasiwasi.

Kamati kuu ya chama chao ikawafuta uanachama na ikawapa fursa ya kukata rufaa Baraza kuu. Spika ndugai akajitokeza tena akihitaji proceedings za kuwafuta uanachama.

Juzi Msajili ameingilia naye jambo hilo na kwa uelewa wangu
  1. Hakuna anayeweza kubadili msimamo wa spika (ndani na nje ya bunge)
  2. Pamoja na sakata lote hili wabunge hawa wameendelea kuwepo bungeni na kupokea stahiki zote za ubunge
  3. Hata Baraza kuu litabariki uamuzi wa kamati kuu bado Spika ana uwezo wa kuwaweka bungeni kwa miaka minne iliyobaki
Kwa nini Msajili wa vyama aingilie mahali ambapo tayari wabunge 19 na Spika tayari ni washindi? Na kwa namna yoyote Chadema hawana uwezo wa kubadili maamuzi kama ilivyokuwa kwa Mwambe.

Wakati mwingine kuna watu 'wanawashwa' in late JPM tone!
Spika anaweza kujaribiwa na mahakama, sema kwa vile hatuna mahakama
 
Baada ya uchaguzi wa mwaka jana vumbi kubwa lililobaki ni hili la kuhusu wabunge 19 ambao Chama chao hakiwatambua. Siku za mwanzo za sakata hili spika Ndugai alirudia mara kwa mara kuwa atawalinda na wasiwe na wasiwasi.

Kamati kuu ya chama chao ikawafuta uanachama na ikawapa fursa ya kukata rufaa Baraza kuu. Spika ndugai akajitokeza tena akihitaji proceedings za kuwafuta uanachama.

Juzi Msajili ameingilia naye jambo hilo na kwa uelewa wangu
  1. Hakuna anayeweza kubadili msimamo wa spika (ndani na nje ya bunge)
  2. Pamoja na sakata lote hili wabunge hawa wameendelea kuwepo bungeni na kupokea stahiki zote za ubunge
  3. Hata Baraza kuu litabariki uamuzi wa kamati kuu bado Spika ana uwezo wa kuwaweka bungeni kwa miaka minne iliyobaki
Kwa nini Msajili wa vyama aingilie mahali ambapo tayari wabunge 19 na Spika tayari ni washindi? Na kwa namna yoyote Chadema hawana uwezo wa kubadili maamuzi kama ilivyokuwa kwa Mwambe.

Wakati mwingine kuna watu 'wanawashwa' in late JPM tone!
Pili na wewe umeandika Kama Lumpen ingawa ulikuwa na hoja nziri
 
Ukitaka kujua watu walikerwa na uhuni wa covid 19 kuapa bila kdhini
Subiri watangaze kuwashitaki halafu waombe michango kwa wananchi kuendesha kesi.
Hata ccm wengi watatuma kwani ipo wazi
 
Mama angeweza kutoidhinisha mishahara ya Covid 19. Kama ambavyo hawakuidhinisha malipo ya lissu.
Huo mchezo ungewafanya wasihudhurie vikao vya mbunge
Kisha Jobo kuwafukuza kwa utoro(wangekwepa aibu 0.5% ya uhuni wao)
Tatizo la covid 19 ya mzee Mdee Ni Sàmia. Akikata malipo ya wahuni hao, biashara imeisha. If I were to be a president, I will put her to special court to answer charges of her deliberate breach of Katiba
 
Baada ya uchaguzi wa mwaka jana vumbi kubwa lililobaki ni hili la kuhusu wabunge 19 ambao Chama chao hakiwatambua. Siku za mwanzo za sakata hili spika Ndugai alirudia mara kwa mara kuwa atawalinda na wasiwe na wasiwasi.

Kamati kuu ya chama chao ikawafuta uanachama na ikawapa fursa ya kukata rufaa Baraza kuu. Spika ndugai akajitokeza tena akihitaji proceedings za kuwafuta uanachama.

Juzi Msajili ameingilia naye jambo hilo na kwa uelewa wangu
  1. Hakuna anayeweza kubadili msimamo wa spika (ndani na nje ya bunge)
  2. Pamoja na sakata lote hili wabunge hawa wameendelea kuwepo bungeni na kupokea stahiki zote za ubunge
  3. Hata Baraza kuu litabariki uamuzi wa kamati kuu bado Spika ana uwezo wa kuwaweka bungeni kwa miaka minne iliyobaki
Kwa nini Msajili wa vyama aingilie mahali ambapo tayari wabunge 19 na Spika tayari ni washindi? Na kwa namna yoyote Chadema hawana uwezo wa kubadili maamuzi kama ilivyokuwa kwa Mwambe.

Wakati mwingine kuna watu 'wanawashwa' in late JPM tone!
ccm wamegeuza watanganyika ni mazombi.
 
Back
Top Bottom