Wabrazil waahidi kuitoa nchi (Tanzania) gizani

lukindo

JF-Expert Member
Mar 20, 2010
8,466
9,028

Habari Leo.jpg
Matumaini ya Watanzanuia kuwa na umeme wa uhakika, yameanza kuonesha nuru baada ya Ijumaa, kampuni ya Odebreicht ya hapa kukubali kuwekeza katika umeme wa maji kwenye maporoomoko ya maji ya Stiglers Gorge yaliyopo ndani ya Bonde la mto Rufiji, umbali wa kilomita 374 kutoka jijini Dar es Salaam.

Hatua hiyo ilifikiwa Ijumaa katika mazungumzo kati ya wawakilishi wa kampuni hiyo kubwa ya uwekezaji katika sekta hiyo duniani kufanya mazungumzo na ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Waziri mkuuu, Mizengo Pinda.
.....
....
"Hawa watu wana uwezo mkubwa, kwani huu hautakuwa mradi wao wa kwanza, walishakuwa na mradi na mradi kama huo nchini mwao hapa ambao unazalisha megawati 3,150 …tunaamini watafanya vizuri," alisema Ngeleja.

Source: Habari leo 9/10/2011
My take:
Je, huu ni ushahidi kuwa Watanzania wamefikia kiwango chao cha mwisho cha kufikiri (kutatua matatizo yao)!????
Je, huo mkataba unaweza kuwa tofauti na mingine tuliyoizoea?
Naomba kujuzwa, hizo Mtera, Kadatu, Kihansi, Nyumba ya Mungu nk ni zinamilikiwa na nani (wawekezaji au Serikali)?
(Kama zinamilikiwa na serikali(?) iliwezekanaje wakati huo na ishindikane sasa kulijenga hili bwawa jipya wenyewe? ...ni kutokana na bajeti iliyopita amabpoa Tanesco ilitengewa fedha kidogo zaidi ya zile za "Stimuli package". Na niliwahi kuona hapa jamvini mchangiajia alisema kama serikali ingelitenga kiasi fulani kwa miaka mitano mfululizo lingekamilika)

Nawasilisha
 
We are dumb! Intelligent people know how to solve their problems. Smart people are resourceful. Ingenious people invent and innovate. We lack all of these attributes.

Yes I said it. We are dumb!
 
..Tuachotaka kama Nchi ni Umeme wa Uhakika ..sasa unapokuja tena kuuliza mbona yale mabwawa ya mwanzo tulijenga wenyewe na kwa nini sasa hivi tutafute wawekezaji? nashindwa kukusoma..Serikali siku hizi haiwekezi inachofanya ni kujenga mazingira ya kuvutia wawekezaji kwenye sekta mbalimbali lakini hiyo pia haiwezi kuwa sababu ya kwa nini serikali isiwe na share zake..na kama utakumbuka Bunge limepitisha sheria ya PPP ambayo serikali inawajibika kufanya kazi na Private sekta.
Kuhusu Mikataba hili ni tatizo sugu kwa watz wengi..kikubwa hatuna Uzalendo..yaani unasaini mkataba kana kwamba wewe hauishi Tanzania..kisa tu umepewa chakwako..Ni changamoto kwa watz wote manake yanapotokea matatizo yanatukumbuka sote..
 
this single is a real smash hit,.it has stayed at number one spot for more than ten years...
 
"Hawa watu wana uwezo mkubwa, kwani huu hautakuwa mradi wao wa kwanza, walishakuwa na mradi na mradi kama huo nchini mwao hapa ambao unazalisha megawati 3,150 …tunaamini watafanya vizuri," alisema Ngeleja.

This guy can only eat,dream and brood about MEGAWATTS that aren't there
 
This is one of the crazy country in world!! Everytime the top leaders are looking for investers without knowing that "This is the world of survive of the fittest". Hawa viongozi wetu sidhani kama wanajifunza au wanawashauri maofisini kwao. Hivi wadhani hizo nchi ziliweza kwa kutembeza bakuli kila kunapotokea tatizo? Au nisema wanadhani nchi hizo zinaendelea kwa kuwasahau wataalamu wao au bila kujenga human capacity ndani ya nchi zao?

Its about long term goals, kujijengea uwezo hakuji kwa kutembeza bakuli kila kukicha. Kama wanaweza kuongoza nchi ikiwa gizani, kwa nini wasihangaike kutrain wataalamu wa ndani na kuraise money for the projects? Make people die for their country and not let the country die for other people from different country.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom