mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
Nimesoma kwa kina sana makala ya mzee mwanakijiji imenigusa mno! Achilia mbali makala hiyo yaliyoongelewa pia nayajua sana, Hakika kuwa mkimbizi ndani ya nchi yako! inauma kwa kweli, Ni mengi ambayo watanzania tunafanyiwa angalia watu wa north mara wanavyoteswa na kemikali zenye sumu, je unakumbuka skendo ya mgodi wa byamhuru "kama sijakosea jina"ambayo mheshimiwa Mrema ndiye aliyeiibua enzi zake,watu walifukiwa wazima wazima na mwekezaji walifia kwenye mashimo yaopamoja na sululu zao kama vile hawana selikali unyama gani huu?
Kwa upande wangu hakika nimechoka na kwa tasmini yangu si mimi tu, waliochoka na mienendo ya selikali kama mimi ni wengi na ni hapa linapokuja swali je kwa nini hatuchukui hatua? ama wametupa libwata? wanatufanyia michezo michafu halafu tunamwachia Mungu tutamuachia mbaka lini?uvumilivu huu UVUMILIVU GANI? Ilhali tunaumia mimi ninamashaka nao,wakula hela ya uma,wanaingia mikataba mibovu,ona mishahara yao wawapo mjengoni,magari ya kifahari wanayotumia,rasilimali zetu zote wamegawa bure halafu bado tunawatazama?
Nakumbuka Ufaransa enzi hizo watu walichukua hatua kwa kile ambacho leo wengi tunakifahamu kama mapinduzi ya wakulima,NDIO walichoshwa na kodi za kijinga zinazowaneemesha wachache huku wao wakifa njaa.sasa kwa nini sisi hatuchukui hatua? ukiniambia kwamba muda bado itakuwa tiyari lini? na tukiendelea kusubiri basi kama ni migodi tutakuta mashimo na kama ni mbuga za wanyama tutakuta mapori matupu! ndiyo,kwa maana kasi ya wizi ni kubwa,ukiongeza na misamaha wanayopewa? je kwa hali hii ya viongozi wetu kujizawadia rasilimali kama mheshimiwa Ben alivyojizawadia Kiwira tutafika kweli?
MUDA UMEFIKA WATANZANIA TUACHE WOGA,TUCHUKUE HATUA KWANI HATA WAKITUKABILI KWA MITUTU HAWATUWEZI HAWA. RISASI ZA WANAJESHI WAO ZITAISHA ILA SISI WATU (UMMA) HATUTAISHA.
Kwa upande wangu hakika nimechoka na kwa tasmini yangu si mimi tu, waliochoka na mienendo ya selikali kama mimi ni wengi na ni hapa linapokuja swali je kwa nini hatuchukui hatua? ama wametupa libwata? wanatufanyia michezo michafu halafu tunamwachia Mungu tutamuachia mbaka lini?uvumilivu huu UVUMILIVU GANI? Ilhali tunaumia mimi ninamashaka nao,wakula hela ya uma,wanaingia mikataba mibovu,ona mishahara yao wawapo mjengoni,magari ya kifahari wanayotumia,rasilimali zetu zote wamegawa bure halafu bado tunawatazama?
Nakumbuka Ufaransa enzi hizo watu walichukua hatua kwa kile ambacho leo wengi tunakifahamu kama mapinduzi ya wakulima,NDIO walichoshwa na kodi za kijinga zinazowaneemesha wachache huku wao wakifa njaa.sasa kwa nini sisi hatuchukui hatua? ukiniambia kwamba muda bado itakuwa tiyari lini? na tukiendelea kusubiri basi kama ni migodi tutakuta mashimo na kama ni mbuga za wanyama tutakuta mapori matupu! ndiyo,kwa maana kasi ya wizi ni kubwa,ukiongeza na misamaha wanayopewa? je kwa hali hii ya viongozi wetu kujizawadia rasilimali kama mheshimiwa Ben alivyojizawadia Kiwira tutafika kweli?
MUDA UMEFIKA WATANZANIA TUACHE WOGA,TUCHUKUE HATUA KWANI HATA WAKITUKABILI KWA MITUTU HAWATUWEZI HAWA. RISASI ZA WANAJESHI WAO ZITAISHA ILA SISI WATU (UMMA) HATUTAISHA.