F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Dec 17, 2013 #3 Ebhana weee kitu kinakamata channel zote ulimwenguni...
Mwl.RCT JF-Expert Member Jul 23, 2013 13,564 18,586 Dec 17, 2013 #5 Kitu ubunifu, yanini anunue wakati anaweza
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,125 16,189 Dec 17, 2013 #7 Wazee wa kufunga lnb 6 waje wamsaidie huyu jamaa
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,484 86,000 Dec 17, 2013 #8 Oneni sasa dharau zenu, mngetafita mechanism iliotumika mngejua kuwa it works or not. Mimi naamini kabisa kuwa huenda inafanyakazi
Oneni sasa dharau zenu, mngetafita mechanism iliotumika mngejua kuwa it works or not. Mimi naamini kabisa kuwa huenda inafanyakazi
bysange JF-Expert Member Jan 11, 2011 4,456 1,563 Dec 17, 2013 #10 Watalaam wa mambo kama haya wangetusaidia kujua ukweli,big up kwa sana cc@chief mkwawa na wengine Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
bysange JF-Expert Member Jan 11, 2011 4,456 1,563 Dec 17, 2013 #11 Watalaam wa mambo kama haya wangetusaidia kujua ukweli,big up kwa sana cc CHIEF MKWAWA na wengineo Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
LexAid JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,931 772 Dec 17, 2013 #12 Amavubi said: Huyo huenda ni Mganga wa Simba Click to expand... Haaa ha ha, Mbavu zangu!