Ukiwaita hayo majina kwa lengo hilo utaishia kizazi cha wazinzi na walevi! mungu aniepushe na hayoWabongo baada ya kuhuzunika kwa mazishi ya kitaifa ya Mareh.Steven Kanumba,wengne wanampango watoto wao wawaite majina ya mareh.Tunapenda u cheap popularity!!Wana Jf ,Je ni sahihi?