GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Kuna Mtu Mmoja naanza kuona anatuonyesha pia Watanzania jinsi gani pamoja na 'Usomi' wake mkubwa ila kuna uwezekano alipokuwa Shuleni na Chuoni (Chuo Kikuu) pia alikuwa ni Mpiga 'Chabo' wa 'Kutukuka' kabisa kwa jinsi ambavyo sasa katika Kipindi hiki cha 'Kampeni' anaacha Kusema yake aliyoyapanga na badala yake sasa 'anazivia' tu 'Sera' zilizoenda 'Shule' za Mpinzani wake.
Mpinzani wake alianza na 'Sera' ya 'Bima' ambayo Yeye wala hakuwa nayo katika 'Mipango' yake na 'akaidakia' nae 'Kuiimba' vile vile. Kama haitoshi Mpinzani wake kaja tena na 'Sera' za 'Wamachinga' ambayo kaielezea na kuichambua vizuri sana kama kawaida yake Mzee wa Chabo /Mizola nae 'Kaidakia' ila katika Kuielezea na Kuichambua vyema ieleweke Kumemshinda na kabaki 'Kubung'aa' tu.
Sasa nina 'Hofu' Siku Mpinzani wake akifanya kama 'Utani' kwa Kusema atawanunulia Wananchi wote 'Toilet Papers' na Kuwasambazia' hadi 'Majumbani' mwao Yeye Mzee wa Chabo / Mizola na Kukurupuka nae anaweza kusema Wananchi wote wanaruhusiwa Kujisaidia 'Haja Kubwa' popote pale watakapojisikia na 'ataajiri' Watu 'Maalum' wa kwenda 'Kuyazoa' yote yote.
Kwa mbali mno GENTAMYCINE naanza Kuona kuna Watu 'Pumzi' zao za Kuelezea 'Sera' zao zimeshakata na sasa 'Wamepaniki' na 'Watadata' upesi.
Mpinzani wake alianza na 'Sera' ya 'Bima' ambayo Yeye wala hakuwa nayo katika 'Mipango' yake na 'akaidakia' nae 'Kuiimba' vile vile. Kama haitoshi Mpinzani wake kaja tena na 'Sera' za 'Wamachinga' ambayo kaielezea na kuichambua vizuri sana kama kawaida yake Mzee wa Chabo /Mizola nae 'Kaidakia' ila katika Kuielezea na Kuichambua vyema ieleweke Kumemshinda na kabaki 'Kubung'aa' tu.
Sasa nina 'Hofu' Siku Mpinzani wake akifanya kama 'Utani' kwa Kusema atawanunulia Wananchi wote 'Toilet Papers' na Kuwasambazia' hadi 'Majumbani' mwao Yeye Mzee wa Chabo / Mizola na Kukurupuka nae anaweza kusema Wananchi wote wanaruhusiwa Kujisaidia 'Haja Kubwa' popote pale watakapojisikia na 'ataajiri' Watu 'Maalum' wa kwenda 'Kuyazoa' yote yote.
Kwa mbali mno GENTAMYCINE naanza Kuona kuna Watu 'Pumzi' zao za Kuelezea 'Sera' zao zimeshakata na sasa 'Wamepaniki' na 'Watadata' upesi.