Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,140
- 4,237
Na wewe si miongoni mwa wabeba mabox?Waulize wao.
Na wewe si miongoni mwa wabeba mabox?Waulize wao.
Wewe ushafika Ulaya?
Hongera.Nimeishi, kama professional sio deiwaka!
Mimi ndo Rais wao.Na wewe si miongoni mwa wabeba mabox?
Ni yeye 2020 ngoja awajambishe moshiMagufuli 2020
rudi nyumbani kumenoga ndugu yangu.Ndiyo bana.....umaskini si mchezo. Usikie kwa wenzio tu.
Naishi kwa mlo mmoja wa noodles kwa siku.
Nina maisha magumu sana.