Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,654
- 28,911
Nimecheka sana baada ya kuangalia iyo video hasa jamaa wa passport hadi anatukana. Mbele ni kuzuri sana ukiwa kwenye system una proper papers na credit yako ni nzuri. Ukiwa navyo hivyo vyote shida labda ujitakie tu. Tofauti na hapo bora ubaki bongo.