" kama kudai mamlaka yetu kamili yaliyoporwa ni ubinafsi, haya tuiteni mutakavyo. who cares?! al muradi yetu yanatuendea kama tulivyopanga. hao waZanzibari waliopo huko mnaweza kuwataka nao wachukue vitambulisho pale tu mtakapokuwa na Tanganyika yenu. nyinyi kazi kusema tu. rejesheni Tanganyika yenu kwanza ndio muwe na midomo ya kusema ala! otherwise ....ZANZIBAR ni yetu waZanzibari na hiyo Tanzania ni yetu sote. Kila mZanzibari ni mTanzania lakini si kila mTanzania ni mZanzibari... (samahanini waZenji wenzangu najua wengine mnachefukwa mkiitwa waTanzania, ila hadi sasa hiyo ndio reality!"
Kwa taarifa yako,
Navyowafahamu wazanzibar ni zaidi ya unavyojua. Shida yenu kubwa ni mnavyodanganywa na wapemba na pesa kuwa mkiwa na independent zanzibar basi ndio mtafanikiwa kumbe wenzenu wanataka kufanya wanayoyataka but hilo sio la muhimu. Cha muhimu hapa bora muungano uvunjikie mbali mwende zenu. Hamna lolote zaidi ya kukosa shukrani na bataani zisizo na maana. Ni vema mkajitenga mkaenda huko mtakaporudi mtajua kuwa heshima. Nadhani katiba ijayo iwe na serikali ya Tanganyika na tuvunjilie mbali muungano tuone jeuri yenu mtaitoa wapi. Wenyewe kwa wenyewe mnabaguana. Mara huyo mdonge, yule wa dole, mara huyo wa kaskazini yule wa kusini, mara wewe mwarabu yule mnyamwezi. Mnabaguana kisawa sawa ni vema ukavunjwa muungano halafu tuyaone hayo mliokuwa mnatishia nyau. You are racists wazanzibar hasa wapemba.