Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

katiba mpya ya zenj unaipinga? Jwtz hawana kazi, kwenye vita general shimbo ndo anakula, mabomu hayana kazi huku! Anza harakati tu! Good luck!

kuwatuma jw zanzibar ni matusi na kuwadhihaki tena ni sawa na kuvunja yai kwa kutumia nyundo mimi naamini kabisa tukiwapa wakurya kama 200 hivi wanatosha kuwa discipline hao wajinga wachache walioko zanzbar hata ffu wasiende.
 
Mwiba, mnasubiri nini kuuvunja muungano. Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.
 
Last edited by a moderator:
Kusema kweli baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipotosha ukweli na kujaribu kuwadanganya wale wasikuwa na elimu ya uelewa.

Kuna watu wanaosema Muungano ukivunjika basi waZenji au WaZanzibari nao wafungishwe virago na kurudi kwao ,hivi watu hawa wanaieleawa Zanzibar ni ipi ? Wanaijua mipaka ya Zanzibar kabla ya wao kuzaliwa ?

Mmasai hawezi kuwa ni mZanzibari lakini Mbongo ,Mtanga ,waPwani au kule Mtwala hawa wote ni watu wa Zanzibar au tatizo hamuelimishwi mnaachwa kama mlivyo mkiaminishwa kuwa WaZanzibari ni watu wa Unguja na Pemba.

Tatizo ni la wale wahamiaji wanaotoka mikoani ambao asili zao ni kutoka Zaire na kuhamia mikoa ya pwani halafu wao kujifanya ndio wenyeji na wenye uchungu na hii iitwayo Tanganyika ,watu hawa hawana kabisa ule uasili wa wao kuwa ni waTanganyika kwani ukifuata ujio wao wanakuwa ni wahamiaji ,waliokutwa na biashara ya utumwa.Aidha waliachwa kwenye mataa na wenzao kupelekwa uarabuni uhindini na amerika.

Hivyo mnaposema Muungano ukivunjika Wazenji warudi kwao basi wekeni akili zenu timamu.

mainmap.gif

KWani ni Zanzibar ipi mnayotaka yani kabla ya mkoloni mwarabu ama ya baada ya mkoloni mwarabu? Nafikiri kuna watu wanahitaji kuelimishwa
 
Mkuu, sasa hapo ndiyo unataka kuzungumzia nini hasa?
Maana mada yako na picha au sijui niite ramani uliyoiweka wala haina uhusiano na mada yako.

Aidha katika hiyo picha yako hakuna kisiwa kinachoitwa Unguja, sasa sijui utasemaje?

Isitoshe mkuu, yaonekana historia uliikimbia skuli japo si somo gumu, ni sawa na kutamba hadithi uliyosimuliwa na kutoa tafakuri.
Ninasema hivyo kwa sababu umeshindwa kutafsiri hizo njia za biashara na za watumwa enzi hizo, ukafikiri Tanganyika lilikuwa ni pori kubwa lisilokuwa na wakaazi isipokuwa wanyama!

Pole sana.

Hata mie kwa kweli leo ngoja niwe honest, mpaka karibuni ndo miaka ya tisini ndo nimegundua kuna unguja ila mwanzoni nilikuwa nafahamu pemba na zanzibar.
 
Basi kama ni hivyoo na wapemba nao warudi oman maana si asili yao pale mnasemaje hapo wakuu ha ha ha
 
Kusema kweli baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipotosha ukweli na kujaribu kuwadanganya wale wasikuwa na elimu ya uelewa.

Kuna watu wanaosema Muungano ukivunjika basi waZenji au WaZanzibari nao wafungishwe virago na kurudi kwao ,hivi watu hawa wanaieleawa Zanzibar ni ipi ? Wanaijua mipaka ya Zanzibar kabla ya wao kuzaliwa ?

Mmasai hawezi kuwa ni mZanzibari lakini Mbongo ,Mtanga ,waPwani au kule Mtwala hawa wote ni watu wa Zanzibar au tatizo hamuelimishwi mnaachwa kama mlivyo mkiaminishwa kuwa WaZanzibari ni watu wa Unguja na Pemba.

Tatizo ni la wale wahamiaji wanaotoka mikoani ambao asili zao ni kutoka Zaire na kuhamia mikoa ya pwani halafu wao kujifanya ndio wenyeji na wenye uchungu na hii iitwayo Tanganyika ,watu hawa hawana kabisa ule uasili wa wao kuwa ni waTanganyika kwani ukifuata ujio wao wanakuwa ni wahamiaji ,waliokutwa na biashara ya utumwa.Aidha waliachwa kwenye mataa na wenzao kupelekwa uarabuni uhindini na amerika.

Hivyo mnaposema Muungano ukivunjika Wazenji warudi kwao basi wekeni akili zenu timamu.

mainmap.gif

Hii kilatini, hususan katika mambo ya kisheria, inaitwa "in vacuo".

Haina ushahidi wa kuisimamisha, ina force king, hoja ya nguvu, haina nguvu ya hoja.

Unapotaka kurudisha Sultanate of Zanzibar iliyovunjwa partly kukomesha biashara ya utumwa unatuambia nini? Unataka kurudisha biashara ya utumwa pia?

Wote tuliofuta ujinga tumesoma historia ya hizo maili 16 za Pwani ya Tanganyika na Sultani alivyozipata na kuziachia, the shortest war in history and all - as if that carries any significant relevance over current geopolitical trends and their projections in the current debate- let alone the current setup of post-revolution Zanzibar.

To quip with a Nyerere paraphrasing addressed to Dr. Hastings Kamuzu Banda on a standing matter of border dispute, kwa nini msitake kuchukua Tanganyika nzima kama ni hivyo? Mtawale kuanzia Unguja mpaka Ujiji, Kyaka mpaka Nachingwea kutoka Unguja?

This muungano matter is hot as it is, msitufanye turudi kuchukua nchi yetu na kuwafanya mbaya itakayovunja rekodi ya Mungereza ya the shortest war in history huko.

Mark my words, vizazi vilivyopita vya Watanganyika si sawa na Watanganyika wa leo. We can see clearly past the shyt now that the diplomatcy diarrhea is ending.

And your fixation on sovereignty is misplaced as only a Johnny come lately to the game would, real players are evolving into some more germane planes of existence than this 30 years war relic.

Go read a book or two to understand history, although I doubt your intelligence level will allow you to connect the more complex dots.

Don't make me do it cause I always overdo it.
 
Hofu yangu Muungano ukifa Wapemba na Wa Unguja watamalizana maana wengi wao hufikiria kwa kutumia Masaburi na wasiona chembe ya Upendo na tutarajie wakimbizi
 
Hofu yangu Muungano ukifa Wapemba na Wa Unguja watamalizana maana wengi wao hufikiria kwa kutumia Masaburi na wasiona chembe ya Upendo na tutarajie wakimbizi

Wakimbizi si wataenda kwa mabwana zao Muscat, waje Tanganyika kufanya nini wakati supposedly Muungano hawautaki?
 
waende zao bwana tumechoka!kila cku kelele as if c ndo tunawataka sn?fanyeni faster,kwanza huko kariakoo mlikojaa mtuachie nafasi ndugu zetu wasio na ajira wafanye biashara
 
zanzibar, punguzeni kelele..karne hii, ni ya kuwajibika si ya kuchimba miaka 200 iliyopita mataifa makubwa duniani kama marekani yameendelea kwasababu ya muungano na si jambo lingine marekani ni muungano wa nchi zaidi ya 52 lakini hakuna kelele, tena wao wameungana tokea 1776..ndio sisi tokea 64 tena nchi mbili tu?? kelele zoote hizi..embu kuweni na busara kidogo , maana bila tanganyika hamuwezi fanikiwa..urusi ilianguka kama super power baada ya nchi kujiondoa katika muungano..mpaka hivi leo urusi inajivunia historia lakini hamna, kitu..sina shaka kuna watu wachache wanawajaza madudu ambayo in reallity haiwezekaniki kutendeka, ni ndoto ya mchana ambayo nahisi hawataweza kuwatimizia..kuweni makini na watu kama hawa..
 
Naanza kufikiri hivi, "Mtu akikwambia unaakili kama Mzanzibari kwangu tayari hilo ni tusi"

Mnalishwa bure na bara, Umeme tunawapa bure, mmejua hata kutumia kitungu na Nyanya kupitia sisi but still mnataka kuondoka, madai yenu ni tu mnadhani mkoloni wenu wa zamani huy Mu oman atawasiaidia, swali fupi kwenu ni hili, Hivi Visiwa vya Ngazija (Komoro/Comoro) kiutamaduni hata kidini, kilasilimali, mnatofautiana nao nini? kama mpo sawa, kwanini huyo Mu Oman haoneshi interest yeyote kwao isipokua nyie tu? na kama ipo tofauti may be mnaweza kuiweka hapa nasi tuione, Shida kubwa ninayo iona kwenu na kwa huyo Mwarabu ni kutaka kuharibu amani iliyopo na kutuletea ugaidi hapa kwetu, kimsingi ningependa nyie mwende kwenu na muungano uvunjike hata sasa/leo, kodi yangu hii ambayo mmekuwa mnakula kila siku hakika inaniuma sana. andamaneni tena na mwende salama, labda kina Lipumba na Mtatilo watatia akili kuwa lengo na CUF Zanzibar ni tofauti na CUF yao ya bara.
 
Kusema kweli baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipotosha ukweli na kujaribu kuwadanganya wale wasikuwa na elimu ya uelewa.

Kuna watu wanaosema Muungano ukivunjika basi waZenji au WaZanzibari nao wafungishwe virago na kurudi kwao ,hivi watu hawa wanaieleawa Zanzibar ni ipi ? Wanaijua mipaka ya Zanzibar kabla ya wao kuzaliwa ?

Mmasai hawezi kuwa ni mZanzibari lakini Mbongo ,Mtanga ,waPwani au kule Mtwala hawa wote ni watu wa Zanzibar au tatizo hamuelimishwi mnaachwa kama mlivyo mkiaminishwa kuwa WaZanzibari ni watu wa Unguja na Pemba.

Tatizo ni la wale wahamiaji wanaotoka mikoani ambao asili zao ni kutoka Zaire na kuhamia mikoa ya pwani halafu wao kujifanya ndio wenyeji na wenye uchungu na hii iitwayo Tanganyika ,watu hawa hawana kabisa ule uasili wa wao kuwa ni waTanganyika kwani ukifuata ujio wao wanakuwa ni wahamiaji ,waliokutwa na biashara ya utumwa.Aidha waliachwa kwenye mataa na wenzao kupelekwa uarabuni uhindini na amerika.

Hivyo mnaposema Muungano ukivunjika Wazenji warudi kwao basi wekeni akili zenu timamu.

mainmap.gif

Kwahiyo Zanzibar ikijitenga, Mtwara yenu, Dar yenu, Tanga yenu! We KIMA KWELI
 
Hongera CHADEMA kwa kuweza kutamka hadharani ujio wa tanganyika ,mara ingine hatutaki kusikia bungeni bali kwenye viwanja vya mikutano ya hadhara mchana kweupe.
 
Ramani haijakamilika au unaogopa Slutanite influence ilifika mogadishu mpkao sofara musumbiji. hata kwa kuunganisha waarabu wote mabedui, majini na waajemi haitatokea na haijawahi kutokea.
 
Kusema kweli baadhi ya wanasiasa wamekuwa wakipotosha ukweli na kujaribu kuwadanganya wale wasikuwa na elimu ya uelewa.

Kuna watu wanaosema Muungano ukivunjika basi waZenji au WaZanzibari nao wafungishwe virago na kurudi kwao ,hivi watu hawa wanaieleawa Zanzibar ni ipi ? Wanaijua mipaka ya Zanzibar kabla ya wao kuzaliwa ?

Mmasai hawezi kuwa ni mZanzibari lakini Mbongo ,Mtanga ,waPwani au kule Mtwala hawa wote ni watu wa Zanzibar au tatizo hamuelimishwi mnaachwa kama mlivyo mkiaminishwa kuwa WaZanzibari ni watu wa Unguja na Pemba.

Tatizo ni la wale wahamiaji wanaotoka mikoani ambao asili zao ni kutoka Zaire na kuhamia mikoa ya pwani halafu wao kujifanya ndio wenyeji na wenye uchungu na hii iitwayo Tanganyika ,watu hawa hawana kabisa ule uasili wa wao kuwa ni waTanganyika kwani ukifuata ujio wao wanakuwa ni wahamiaji ,waliokutwa na biashara ya utumwa.Aidha waliachwa kwenye mataa na wenzao kupelekwa uarabuni uhindini na amerika.

Hivyo mnaposema Muungano ukivunjika Wazenji warudi kwao basi wekeni akili zenu timamu.

mainmap.gif


Zanzibar unayoidai ni ipi? ya zama za ukoloni ambapo mwenye nguvu na uwezo alijikamatia anapotaka.

Zanzibar tunayoitambua sisi ni ile baada ya mapinduzi, na mipaka yake ipo wazi. hivi hujajua wakati wa utawala wa mjerumani Tanganyika , rwanda na burundi ilikuwa teritory moja? Tafakari yakhe? Soma geograhia yako vyema, Tanganyika na mipaka yake ipo wazi katika hati ya UHURU, sawa na Zanzibari.
 
Zanzibar unayoidai ni ipi? ya zama za ukoloni ambapo mwenye nguvu na uwezo alijikamatia anapotaka.

Zanzibar tunayoitambua sisi ni ile baada ya mapinduzi, na mipaka yake ipo wazi. hivi hujajua wakati wa utawala wa mjerumani Tanganyika , rwanda na burundi ilikuwa teritory moja? Tafakari yakhe? Soma geograhia yako vyema, Tanganyika na mipaka yake ipo wazi katika hati ya UHURU, sawa na Zanzibari.

Zanzibar ya baada ya Mapinduzi hiyo sio Zanzibar ,ipo Zanzibar ambayo ni asili ,itafute utaiona usingije kutafuniwa kila kitu ,na zaidi si kuijua Zanzibar ni ipi ya kabla au ya baada ,mnalotakiwa mkae kwa heshima na adabu ,sio inaposemwa Zanzibar kuna wasiojielewa na kutaka kufurahisha mabwana zao kwa kuilinganisha Zanzibar na Wilaya au kijiji ,muambiwapo Zanzibar ni Nchi basi mjue kinachosemwa ,sio mnakurupuka kama watoto wa wakulima.
 
Back
Top Bottom