mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Kumekua na malalamiko mengi kwenye jamii za kitanzania na kiafrika kwa ujumla mara watoto wanapokua na kuanza kujitegemea na umri wa wazazi kusogea, wototo huwa wanakua karibu na mama zao zaidi ya baba zao.
Wababa wengi huumizwa na jambo hili na kujiona kutengwa na watoto wao baada ya watoto hao kupata mafanikio huku wakiamini kabiasa kwamba wake zao (wamama wa hao watoto) wanawafurahia hilo jambo na wana ushirika mkubwa na watoto wao katika kuwatenga
Wamama huwa tunakosea wapi hadi hawa wababa wafikie kulalamika kiasi hiki? Au umri ukienda mapenzi yanaisha na title ya mume inabadilika?
Nini kinawapelekea watoto kuwa na hii distance kubwa kwa baba zao? Je, wanajua kama na wao siku wakizeeka wakatengwa au kuhisi kutengwa itawaumiza?
Ikumbukwe hakuna mtoto wa mzazi mmoja, katika mazingira yoyote yale mtoto atabaki kuwa wa baba na mama unless huyo baba au mama amkatae mtoto
Kwenye imani zetu pia tumeamrishwa kuwaheshimu baba na mama. Hiyo ni amri bila maswali, kazi ni moja tuu kutekeleza. Yaani huwezi sema sababu mama yuko hivi au baba yuko vile sitamheshimu! Matakwa ya amri ni kutekeleza tuu
Familia ni upendo na familia ndio faraja na kimbilio la wakati raha na taabu. Tudumishe upendo
Cc Bushmamy mirisho pm Asprin Sky Eclat 50thebe wahenga wenzangu wote
Wababa wengi huumizwa na jambo hili na kujiona kutengwa na watoto wao baada ya watoto hao kupata mafanikio huku wakiamini kabiasa kwamba wake zao (wamama wa hao watoto) wanawafurahia hilo jambo na wana ushirika mkubwa na watoto wao katika kuwatenga
Wamama huwa tunakosea wapi hadi hawa wababa wafikie kulalamika kiasi hiki? Au umri ukienda mapenzi yanaisha na title ya mume inabadilika?
Nini kinawapelekea watoto kuwa na hii distance kubwa kwa baba zao? Je, wanajua kama na wao siku wakizeeka wakatengwa au kuhisi kutengwa itawaumiza?
Ikumbukwe hakuna mtoto wa mzazi mmoja, katika mazingira yoyote yale mtoto atabaki kuwa wa baba na mama unless huyo baba au mama amkatae mtoto
Kwenye imani zetu pia tumeamrishwa kuwaheshimu baba na mama. Hiyo ni amri bila maswali, kazi ni moja tuu kutekeleza. Yaani huwezi sema sababu mama yuko hivi au baba yuko vile sitamheshimu! Matakwa ya amri ni kutekeleza tuu
Familia ni upendo na familia ndio faraja na kimbilio la wakati raha na taabu. Tudumishe upendo
Cc Bushmamy mirisho pm Asprin Sky Eclat 50thebe wahenga wenzangu wote