Wababa wanalalamika kuwa watoto wanawajali mama zao zaidi

Kuna ndugu yangu mmoja yeye kwake akirudi nyumbani watoto wake hukimbilia chumbani hawakai nae sitting room hujificha huko, nikamuuliza kulikoni akanimbia wanapenda kujifungia chumbani ila nilipokaa nae nikaona anaongea nao l kwa hasira watoto wake yani ni mtu fulani hivi mkali akiwa na watoto, nikamuelezea hali hiyo sio nzuri sana kwa usatawi wa familia yake, baada ya muda akajirekebisha naona imemsaidia sana, na kushukuru, sisi wazazi kuwa wakali sana haijengi wala haimsaidii mtoto zaidi ya kuwatengenezea watoto uwoga usio na faida.
 
Kuna ndugu yangu mmoja yeye kwake akirudi nyumbani watoto wake hukimbilia chumbani hawakai nae sitting room hujificha huko, nikamuuliza kulikoni akanimbia wanapenda kujifungia chumbani ila nilipokaa nae nikaona anaongea nao l kwa hasira watoto wake yani ni mtu fulani hivi mkali akiwa na watoto, nikamuelezea hali hiyo sio nzuri sana kwa usatawi wa familia yake, baada ya muda akajirekebisha naona imemsaidia sana, na kushukuru, sisi wazazi kuwa wakali sana haijengi wala haimsaidii mtoto zaidi ya kuwatengenezea watoto uwoga usio na faida.
Lakini hii ya ukali inamchango mdogo Sana kwenye watoto kumpendelea Mama zaidi ya baba
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom