Wababa mlio nje ;watch out mnaliwa ma binti zenu DAR

sijafulia

Member
Mar 26, 2010
86
2
wale ndugu zanguni mlio nje ya tanzania..naomba muwe makini sana wakati mkiwaacha
wake zenu ama gfriend ama wachumba inavyojulikana
kuna jiran yangu hapa mbezi kwa kweli mumewe akifika anakuwa kama kama malaika
alietoka kwenye sinagogi..lakini ukweli akiondoka jaman dada huyu ana mijamaa yake
kawampanga kwa wiki....mpaka majuzi mmoja akachapa lapa baada ya kuona mwanaume
mwenzake anaendesha gari la hawara yake akalianzisha ni dada ndie alierekebisha pale mwenge...tatizo huyu binti akipata mzigo anakabidhi na gari kila kitu

sasa akiwaapanga wanajiuliza mbona gari nilioendesha huyu nani tena mnabaki kujiuliza na ufataki wenu wanaume nyie

kwa kweli nawaasa mwomben sana mungu mkiwa huko,....huku wanawake zenu ni mitalimbo
wengi na wengine ..mmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
mkifika anakulaki na maua mengi pale DIA kama umelazwa KINONDONI CEMENTRY

ukiondoka hatari tupu!!!!1

EE mungu tujalie
 
.......Mhhh kuna wanaJF humu wananiacha hoi kwa topics zao kuna yule Pdidy, mama mia,mwanahalisi, sweetbaby na huyu sijafulia sijui hata huwa wanapata wapi hizi habari. Mie hizi habari zao huwa zinanifurahisha kwa kweli. Keep it up guys.
 
.......Mhhh kuna wanaJF humu wananiacha hoi kwa topics zao kuna yule Pdidy, mama mia,mwanahalisi, sweetbaby na huyu sijafulia sijui hata huwa wanapata wapi hizi habari. Mie hizi habari zao huwa zinanifurahisha kwa kweli. Keep it up guys.

bora wewe useme, mimi nilisema nikaambiwa nipewe ban
 
SURELY jf JUKWAA LA MAHUSIANO LIMEPATA VIRUS!!! TENA HATA KASPERSKY [THE ROBOT] ANA KAZI YA KUONDOA

kwanini tunagereralize kila kitu?
 
Wera weraa!..Kweli hujafulia kwa habari kama hizi!..mimi hoi huo mstari huu "mkifika anakulaki na maua mengi pale DIA kama umelazwa KINONDONI CEMENTRY"..
 
wale ndugu zanguni mlio nje ya tanzania..naomba muwe makini sana wakati mkiwaacha
wake zenu ama gfriend ama wachumba inavyojulikana
kuna jiran yangu hapa mbezi kwa kweli mumewe akifika anakuwa kama kama malaika
alietoka kwenye sinagogi..lakini ukweli akiondoka jaman dada huyu ana mijamaa yake
kawampanga kwa wiki....mpaka majuzi mmoja akachapa lapa baada ya kuona mwanaume
mwenzake anaendesha gari la hawara yake akalianzisha ni dada ndie alierekebisha pale mwenge...tatizo huyu binti akipata mzigo anakabidhi na gari kila kitu

sasa akiwaapanga wanajiuliza mbona gari nilioendesha huyu nani tena mnabaki kujiuliza na ufataki wenu wanaume nyie

kwa kweli nawaasa mwomben sana mungu mkiwa huko,....huku wanawake zenu ni mitalimbo
wengi na wengine ..mmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
mkifika anakulaki na maua mengi pale DIA kama umelazwa KINONDONI CEMENTRY

ukiondoka hatari tupu!!!!1

EE mungu tujalie

Kama anamegwa ila ukirudi anakuwa kama malaika tatizo liko wapi? Unajuaje huyo jamaa huko aliko kwani yeye hamegi vicheche vya huko? Tena usikute kaoa kabisa, na anaweza kuibuka Bongo siku moja kaongoza na mke na watoto mapacha!
 
Ukweli lazima usemwe, jamaa huko aliko anakula ngumu, kufurahisha mwana Bongo, kumbe afurahisha hata makalameni, Jamani huu si Ungwana hata kidogo!!!!!!
 
Ebwana hata ukiwa naye hapa hapa bongo atatusuliwa tu kama niwakutusuliwaga hamna cha niaje wala nini!! magashi wana matatizo sana hata umkune vp atatamani tu ya juma:target:
 
Siku hizi hata sijui tusemeje maana naona hata ile kauli ya Umalaya ni hulka ya mtu inamezwa sasa!!. Kweli Tanzania Bila UKIMWI haiwezekani kama ilivyongumu kwa maisha bora kwa kila mtanzania tumebaki na Bora maisha kwa baadhi ya watanzania.
 
Sasa nimeamini Wabongo wengi wanapenda stori za umbea umbea fulani
 
wale ndugu zanguni mlio nje ya tanzania..naomba muwe makini sana wakati mkiwaacha
wake zenu ama gfriend ama wachumba inavyojulikana
kuna jiran yangu hapa mbezi kwa kweli mumewe akifika anakuwa kama kama malaika
alietoka kwenye sinagogi..lakini ukweli akiondoka jaman dada huyu ana mijamaa yake
kawampanga kwa wiki....mpaka majuzi mmoja akachapa lapa baada ya kuona mwanaume
mwenzake anaendesha gari la hawara yake akalianzisha ni dada ndie alierekebisha pale mwenge...tatizo huyu binti akipata mzigo anakabidhi na gari kila kitu

sasa akiwaapanga wanajiuliza mbona gari nilioendesha huyu nani tena mnabaki kujiuliza na ufataki wenu wanaume nyie

kwa kweli nawaasa mwomben sana mungu mkiwa huko,....huku wanawake zenu ni mitalimbo
wengi na wengine ..mmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
mkifika anakulaki na maua mengi pale DIA kama umelazwa KINONDONI CEMENTRY

ukiondoka hatari tupu!!!!1

EE mungu tujalie
1.UKIENDA NJE FANYA JUU CHINI MWITE NA MWENZIO AJE,HAPA DAR UNAMWACHIA NANI?
2.MKUU UNAWAJULISHA NINI WAKATI NAO HUKO NJE WANAIBA NA KUBADILISHA? HAPO MECHI NI DROO.
3.ADAM ALIMWACHA HAWA KWA MUDA MCHACHE TU PALE BUSTANINI,EDEN,ALIPORUDI TAYARI HAWA ALISHATENDA KOSA,NA KAMA SHETANI YULE ALIEMDANGANYA HAWA ANGEKUWA JINI MAHABA NADHANI ANGEPEWA KILAKITU NA HAWA.USIMWACHE MPENZI WAKO AWE MBALI NAWE......................mmmmmmh duu kuna kitu nimekumbuka,unasema mbezi?mungu wangu! asije akawa shemeji yangu huyo,mke wa kaka yangu kabisa anaeishi nje ya nchi.MBEZI IPI HIYO?
 
ebwana hata ukiwa naye hapa hapa bongo atatusuliwa tu kama niwakutusuliwaga hamna cha niaje wala nini!! Magashi wana matatizo sana hata umkune vp atatamani tu ya juma:target:
kwa hiyo unaruhusu wako atusuliwe?
 
sasa unadhani utafanya nini ndugu sijafulia?huwezi kumchunga 24 hrs,mana ukifanya hivyo utaacha kufanya mambo yako mengine ya mana ktk maisha yako,ndivyo dunia ilivyo sio bongo tu,wanawake/wanaume wote ni vigumu kumpata mwaminifu asilimia 100%,ukiendekeza sana utapata stress/bp na shell wangu,suala hilo ni nyinyi wenyewe mkiwa kama watu wazima wenye akili timamu na kujua wajibu wenu mtaheshimiana,kama kweli unampenda basi utamlinda!
 
mm sioni tatizo
Bibie akibanduliwa ndio anapata Experience ya mitalimbo
na baba naye huko majuu akakague injini za kizungu
Mtoto kama kalelewa kushikilia mitwangi hata uwe naye ndani ya fence utashangaa ShambaBoy
 
anakulaki na maua mengi pale DIA kama umelazwa KINONDONI CEMENTRY

aisee hapa ndo umenimiksi kweli!!!! na hicho kichwa cha habari ndio kabisaaa.. huko unazungumzia mabinti ndani ya story umetaja wake/wapenzi..
 
Back
Top Bottom