wale ndugu zanguni mlio nje ya tanzania..naomba muwe makini sana wakati mkiwaacha
wake zenu ama gfriend ama wachumba inavyojulikana
kuna jiran yangu hapa mbezi kwa kweli mumewe akifika anakuwa kama kama malaika
alietoka kwenye sinagogi..lakini ukweli akiondoka jaman dada huyu ana mijamaa yake
kawampanga kwa wiki....mpaka majuzi mmoja akachapa lapa baada ya kuona mwanaume
mwenzake anaendesha gari la hawara yake akalianzisha ni dada ndie alierekebisha pale mwenge...tatizo huyu binti akipata mzigo anakabidhi na gari kila kitu
sasa akiwaapanga wanajiuliza mbona gari nilioendesha huyu nani tena mnabaki kujiuliza na ufataki wenu wanaume nyie
kwa kweli nawaasa mwomben sana mungu mkiwa huko,....huku wanawake zenu ni mitalimbo
wengi na wengine ..mmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
mkifika anakulaki na maua mengi pale DIA kama umelazwa KINONDONI CEMENTRY
ukiondoka hatari tupu!!!!1
EE mungu tujalie
wake zenu ama gfriend ama wachumba inavyojulikana
kuna jiran yangu hapa mbezi kwa kweli mumewe akifika anakuwa kama kama malaika
alietoka kwenye sinagogi..lakini ukweli akiondoka jaman dada huyu ana mijamaa yake
kawampanga kwa wiki....mpaka majuzi mmoja akachapa lapa baada ya kuona mwanaume
mwenzake anaendesha gari la hawara yake akalianzisha ni dada ndie alierekebisha pale mwenge...tatizo huyu binti akipata mzigo anakabidhi na gari kila kitu
sasa akiwaapanga wanajiuliza mbona gari nilioendesha huyu nani tena mnabaki kujiuliza na ufataki wenu wanaume nyie
kwa kweli nawaasa mwomben sana mungu mkiwa huko,....huku wanawake zenu ni mitalimbo
wengi na wengine ..mmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
mkifika anakulaki na maua mengi pale DIA kama umelazwa KINONDONI CEMENTRY
ukiondoka hatari tupu!!!!1
EE mungu tujalie