BAOBAO
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,874
- 547
Waasisi wa Jukwaa la Kumhubiri Kristo ni askofu mkuu Sylvester Gamanywa, Mtume dk. Veron Fernandes, na askofu mkuu Zachary Kakobe ambao wameandaa na kugharimia kongamano kubwa la kihistoria la kwanza Tanzania kufanyika; IWE MVUA AU IWE JUA; watanguruma Jumamosi hii ! Hizi ni habari njema kwa ulimwengu kupitia Jukwaa la Kumhubiri Kristo(JKK) kwa Radio,Televisheni na mitandao ya jamii mbalimbali nitaweka hapo juu kama updates ! Baraza la makanisa ya pentekoste Tanzania limetoa baraka kwa kongamano hili, na maaskofu, mitume, manabii, wachungaji, waalimu, wainjilisti na kila mtu anayemtumikia Mungu amealikwa maalum. Simu ya mawasiliano ni +255754569100 kwa maelezo ya ziada kuhusu tukio hili la kihistoria kwa WATU WOTE WENYE MWILI !
Tumbuke ni tarehe 12-Oktoba-2019, linafanyika Kongamano Kubwa la Kwanza la JUKWAA LA KUMHUBIRI KRISTO (JKK); KUANZIA SAA NNE ASUBUHI HADI SAA KUMI JIONI. Hakikisha unawahi Ukumbi wa BCIC, Mbezi Beach Jogoo, Dar-Es-Salaam; bila kukosa, maana maandalizi yamekamilika kwa utukufu mkubwa wa Mungu anayelipenda kanisa lake. Ni siku ambayo hutaweza kuisahau wala kujuta ukihudhuria na ndugu na rafiki, kwa baraka nyingi za kiroho na kimwili. MARANATHA !!!
Ukishindwa kuhudhuria Kongamano kwa sababu zilizo nje ya uwezo wako, unaweza kutazama au kusikiliza mubashara moja kwa moja kupitia na mitandao ya jamii kama Youtube Online kupitia Shalom Tv;Ayo Tv; Global Tv; MTZ Digital; Chomoza tv. Pia chaneli ya AGAPE TV, inapatikana katika ving'amuzi cha Ting HD, Antena STARTIMES, na ungo wa CONTINENTAL. Bandiko hili litakuwa litakuletea habari zote karibu na wewe; lakini kuwa wa kwanza kupata habari za Jukwaa Kumhubiri Kristo kwa kubofya http://bit.ly/ShalomTvTz_Bishop_Gamanywa
Tumbuke ni tarehe 12-Oktoba-2019, linafanyika Kongamano Kubwa la Kwanza la JUKWAA LA KUMHUBIRI KRISTO (JKK); KUANZIA SAA NNE ASUBUHI HADI SAA KUMI JIONI. Hakikisha unawahi Ukumbi wa BCIC, Mbezi Beach Jogoo, Dar-Es-Salaam; bila kukosa, maana maandalizi yamekamilika kwa utukufu mkubwa wa Mungu anayelipenda kanisa lake. Ni siku ambayo hutaweza kuisahau wala kujuta ukihudhuria na ndugu na rafiki, kwa baraka nyingi za kiroho na kimwili. MARANATHA !!!
Ukishindwa kuhudhuria Kongamano kwa sababu zilizo nje ya uwezo wako, unaweza kutazama au kusikiliza mubashara moja kwa moja kupitia na mitandao ya jamii kama Youtube Online kupitia Shalom Tv;Ayo Tv; Global Tv; MTZ Digital; Chomoza tv. Pia chaneli ya AGAPE TV, inapatikana katika ving'amuzi cha Ting HD, Antena STARTIMES, na ungo wa CONTINENTAL. Bandiko hili litakuwa litakuletea habari zote karibu na wewe; lakini kuwa wa kwanza kupata habari za Jukwaa Kumhubiri Kristo kwa kubofya http://bit.ly/ShalomTvTz_Bishop_Gamanywa