wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Ahaa sawa tusubiri vyombo vya uchunguzikwa taarifa nilizo nazo hawajawahi kuwa ktk vyombo vya ulinzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaa sawa tusubiri vyombo vya uchunguzikwa taarifa nilizo nazo hawajawahi kuwa ktk vyombo vya ulinzi
Nadhani inasikitisha zaidi kumkabidhi kwa majeshi ya Uganda akiwa hai that was insane (nadhani nimepatia)Da Inasikitisha Sana
Katika jeshi la Kabila(Baba) lililo kwenda kumg'oa Mobutu, palikuwa na wastaafu wengi tu kutoka Tanzania.ADF wanachukua vijana toka Afrika yote ya kati na magharibi ili kuwatumia Kongo kuchimba na kulinda migodi ya madini. Uwepo wao kule hauna mahusiano ya moja kwa moja na mambo yanayoendelea Tanzania yawe ya kisiasa,kiuchumi,kidini na wala kijamii. Tanzania kuna mawakala wa kuwachukua vijana kinyemela na kupelekwa huko nje ya nchi kufanyishwa kazi zisizo na baraka za ulimwengu
Hahahaa Mkuuu lakini waliambiwa na (migulu michemba)kama wanaona Tz pagumu waende Burundi siyo DRC.Hao wamekimbia Ugumu wa maisha Tanzania
Keny umeonaeeHuenda Yale Ya Lameck Nendeni Burundi Wakajiongeza