figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Waasi wa Uganda ADF wameshambulia kata moja ya mji wa beni usiku wakuamkia leo na kuuwa watu wasiopungua 27 na kuwajeruhi wengine tisa. Idadi ya waliofariki dunia,kufuatia shambulizi hilo huenda ikaongezeka kwakuwa hadi sasa jeshi la serikali linaendelea kuwasaka waasi hao, kwenye maeneo zilikopatikana maiti hizo 27 katika msitu wa viunga vya kata ya Ngadi.
Waasi hao walitumia mapanga na risasi kuwaua raia katika kata hiyo. Shambulio la mji wa Beni ni la la tano kwa kipindi cha wiki moja. Raia wa kata ya Boikene katika mji wa Beni waliwazuia wanajeshi wa Umoja wa mataifa Monusco kupita katika barabara ya eneo hilo, wakiwashutumu askari hao wa Umoja wa mataifa kuwa wazembe katika utendaji kazi wao, na kuwaomba kuondoka Congo.Meya wa Beni Nyinyi Bwanakawa ametangaza siku ya leo kuwa ya maombolezi. Mia
ChanzoW
Waasi hao walitumia mapanga na risasi kuwaua raia katika kata hiyo. Shambulio la mji wa Beni ni la la tano kwa kipindi cha wiki moja. Raia wa kata ya Boikene katika mji wa Beni waliwazuia wanajeshi wa Umoja wa mataifa Monusco kupita katika barabara ya eneo hilo, wakiwashutumu askari hao wa Umoja wa mataifa kuwa wazembe katika utendaji kazi wao, na kuwaomba kuondoka Congo.Meya wa Beni Nyinyi Bwanakawa ametangaza siku ya leo kuwa ya maombolezi. Mia
ChanzoW