Waasi wa M23 Wamedhibiti mji wa Bunagana uliopo Mpakani mwa DRC na Rwanda

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,023
1,609
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeishutumu Rwanda kwa uvamizi baada ya waasi wa M23 kuuteka mji muhimu wa Bunagana uliopo mpakani mwa Rwanda na DRC, na hivyo kuashiria kuongezeka kwa hali ya wasiwasi kati ya nchi hizo jirani

Mji wa Bunagana ulioko kaskazini mashariki mwa Goma, una wakazi milioni mbili ambao kama kitovu cha mashirika ya kimataifa ya misaada na ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa

................................................

The Democratic Republic of the Congo’s military has accused Rwanda of “no less than an invasion” after M23 rebels captured a key border town, marking a dramatic escalation in tensions between the two Central African neighbors.

Kinshasa’s military vowed on Monday that its forces would defend their homeland, hours after the Congolese town of Bunagana fell into the hands of the M23.

Bunagana is located 60km (37 miles) northeast of Goma, a city of nearly two million that also serves as a hub for international aid organisations and the United Nations peacekeeping mission, which is known by its French acronym MONUSCO.

“The Rwandan defence forces have this time decided to violate … our territorial integrity by occupying the border town of Bunagana,” General Sylvain Ekenge, spokesman for the military governor of North Kivu province, said in a statement.

Taking the key border town constituted “no less than invasion of the Democratic Republic of Congo”, he added.

There was no immediate reaction from the government of Rwanda, but Kigali has strongly denied accusations over the years that it supports the M23 rebels fighting in DRC.

SOURCE: AL JAZEERA
 
M23 ni wa congo muache kupotoshwa,jeshi la congo stupid kabisa yani wanajeshi 600 wanakimbilia nch jilana bila aibu. wako Uganda kwa sasa.
 

Attachments

  • twitter_20220613_170222.mp4
    1.7 MB
  • IMG_20220613_215428.jpg
    IMG_20220613_215428.jpg
    129.1 KB · Views: 18
Robert Mugabe, Jacob Zuma, Dosantos na Kikwete ndio walikuwa na uwezo wa kudhiti ujeuri na ajenda za siri za uogozi na jeshi la Rwanda kuhusu Jimbo la Kivu lote - Haya ya M23 ni maigizo tu i.e wanatumiwa kama chambo cha kujenga hoja kutaka Kivu ijitenge na kujiunga na Rwanda yanayo endelea Ukraine ndio yatakuja kujitokeza huko Congo kati ya jeshi ła Congo DRC na wanao
jitambulisha kama M23 a.k.a RPF - ushauri wangu: Viongozi wa SADC, Afrika kusini na Angola waionye Rwanda kwamba ikijaribu kuivamia na kukalia jimbo la Kivu kwa kisigizio chochote kile, basi majeshi yote ya nchi tajwa yataungana na kusäidia Congo DRC dhidi ya uvamizi wa kutaka kuimega Jimbo la Kivu.
 
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeishutumu Rwanda kwa uvamizi baada ya waasi wa M23 kuuteka mji muhimu wa Bunagana uliopo mpakani mwa Rwanda na DRC, na hivyo kuashiria kuongezeka kwa hali ya wasiwasi kati ya nchi hizo jirani

Mji wa Bunagana ulioko kaskazini mashariki mwa Goma, una wakazi milioni mbili ambao kama kitovu cha mashirika ya kimataifa ya misaada na ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa

........................................................................

The Democratic Republic of the Congo’s military has accused Rwanda of “no less than an invasion” after M23 rebels captured a key border town, marking a dramatic escalation in tensions between the two Central African neighbours.

Kinshasa’s military vowed on Monday that its forces would defend their homeland, hours after the Congolese town of Bunagana fell into the hands of the M23.

Bunagana is located 60km (37 miles) northeast of Goma, a city of nearly two million that also serves as a hub for international aid organisations and the United Nations peacekeeping mission, which is known by its French acronym MONUSCO.

“The Rwandan defence forces have this time decided to violate … our territorial integrity by occupying the border town of Bunagana,” General Sylvain Ekenge, spokesman for the military governor of North Kivu province, said in a statement.

Taking the key border town constituted “no less than invasion of the Democratic Republic of Congo”, he added.

There was no immediate reaction from the government of Rwanda, but Kigali has strongly denied accusations over the years that it supports the M23 rebels fighting in DRC.

SOURCE: AL JAZEERA
M23 ni Wa congo sio Wanyarwanda,wanacho pigania tofauti na makundi mengine.
imagine wanajeshi 600 kukimbilia Uganda. wa congoman baana!.
 

Attachments

  • twitter_20220613_170222.mp4
    1.7 MB
  • IMG_20220613_215428.jpg
    IMG_20220613_215428.jpg
    129.1 KB · Views: 16
  • twitter_20220613_171651.mp4
    3.9 MB
  • IMG_20220613_215428.jpg
    IMG_20220613_215428.jpg
    129.1 KB · Views: 11
  • twitter_20220613_171651.mp4
    3.9 MB
Robert Mugabe, Jacob Zuma, Dosantos na Kikwete ndio walikuwa na uwezo wa kudhiti ujeuri na ajenda za siri za uogozi na jeshi la Rwanda kuhusu Jimbo la Kivu lote - Haya ya M23 ni maigizo tu i.e wanatumiwa kama chambo cha kujenga hoja kutaka Kivu ijitenge na kujiunga na Rwanda yanayo endelea Ukraine ndio yatakuja kujitokeza huko Congo kati ya jeshi ła Congo DRC na wanao
jitambulisha kama M23 a.k.a RPF - ushauri wangu: Viongozi wa SADC, Afrika kusini na Angola waionye Rwanda kwamba ikijaribu kuivamia na kukalia jimbo la Kivu kwa kisigizio chochote kile, basi majeshi yote ya nchi tajwa yataungana na kusäidia Congo DRC dhidi ya uvamizi wa kutaka kuimega Jimbo la Kivu.
Haujui kitu wewe! M23 ni wa congo.
 

Attachments

  • IMG_20220613_215428.jpg
    IMG_20220613_215428.jpg
    129.1 KB · Views: 11
  • IMG_20220613_215428.jpg
    IMG_20220613_215428.jpg
    129.1 KB · Views: 11
  • twitter_20220613_171651.mp4
    3.9 MB
Robert Mugabe, Jacob Zuma, Dosantos na Kikwete ndio walikuwa na uwezo wa kudhiti ujeuri na ajenda za siri za uogozi na jeshi la Rwanda kuhusu Jimbo la Kivu lote - Haya ya M23 ni maigizo tu i.e wanatumiwa kama chambo cha kujenga hoja kutaka Kivu ijitenge na kujiunga na Rwanda yanayo endelea Ukraine ndio yatakuja kujitokeza huko Congo kati ya jeshi ła Congo DRC na wanao
jitambulisha kama M23 a.k.a RPF - ushauri wangu: Viongozi wa SADC, Afrika kusini na Angola waionye Rwanda kwamba ikijaribu kuivamia na kukalia jimbo la Kivu kwa kisigizio chochote kile, basi majeshi yote ya nchi tajwa yataungana na kusäidia Congo DRC dhidi ya uvamizi wa kutaka kuimega Jimbo la Kivu.
Watupatie hiyo tenda by saa 7 mchana tutakuwa tunakula ugali Kiegali.
 
Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeishutumu Rwanda kwa uvamizi baada ya waasi wa M23 kuuteka mji muhimu wa Bunagana uliopo mpakani mwa Rwanda na DRC, na hivyo kuashiria kuongezeka kwa hali ya wasiwasi kati ya nchi hizo jirani

Mji wa Bunagana ulioko kaskazini mashariki mwa Goma, una wakazi milioni mbili ambao kama kitovu cha mashirika ya kimataifa ya misaada na ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa

........................................................................

The Democratic Republic of the Congo’s military has accused Rwanda of “no less than an invasion” after M23 rebels captured a key border town, marking a dramatic escalation in tensions between the two Central African neighbours.

Kinshasa’s military vowed on Monday that its forces would defend their homeland, hours after the Congolese town of Bunagana fell into the hands of the M23.

Bunagana is located 60km (37 miles) northeast of Goma, a city of nearly two million that also serves as a hub for international aid organisations and the United Nations peacekeeping mission, which is known by its French acronym MONUSCO.

“The Rwandan defence forces have this time decided to violate … our territorial integrity by occupying the border town of Bunagana,” General Sylvain Ekenge, spokesman for the military governor of North Kivu province, said in a statement.

Taking the key border town constituted “no less than invasion of the Democratic Republic of Congo”, he added.

There was no immediate reaction from the government of Rwanda, but Kigali has strongly denied accusations over the years that it supports the M23 rebels fighting in DRC.

SOURCE: AL JAZEERA
Bunagana upo mpakani mwa Uganda sio rwanda.
 
Back
Top Bottom