454
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 136
- 193
Nimekuwa najiuliza Mara nyingi inakuwaje wafanya biashara wakubwa katika nchi yetu ni Waarabu na Wahindi Lakini pia Wachaga na Wapemba nao hawapo nyuma katika ujasiriamali.Ukiangalia sekta ya viwanda wanaomiliki ni Wahindi na Waarabu 99% na upande wa maduka makubwa Wachaga na Wapemba wanaongoza.Sisemi hakuna wengine ila hao niliowataja ni magwiji katika biashara.Sisi makabila mengine tuko nyuma sana.