Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
Wakinga vipiAisee hawa watu wana mzigo, wachagga ni balaa, huko kariakoo nafikiri watu kama Saba General, Riki Hill, Asenga wamenunua karibu nyumba zote na wengine wengine. Pia wana light industries nyingi sana Tanzania na nje ya Tanzania.