BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Wachaga wenyewe wameanza kuwaogopa wasukuma
Sanaa
Wachaga wenyewe wameanza kuwaogopa wasukuma
hata masawe wa akiba comercial....sikatai wakinga wapo on fire ila wao wameanza juzi ila wachaga kitambo icho iwe wapi utamkuta mchaga waulize hata wakenya na wa zambia watakwambia afuwakinga kwenye biashara mostly ila wachaga kuna wasomi na wajasiriamali tujifunzeniMwenye Hill water, Hill animal feed...mwenye kiwanda cha banana, viwanda vya matrela etc etc ...wapo wengine wengi tuu wasiojitanganza kwenye tv/media
Ndagha jubha.Umesahau na Pepsi.Mbombo nu bhumi.Tatizi la wanyakyusa ni ulafi akiwa dukani kila watakachopitisha kuuza kaagiza anakula mfano kalanga,mahindi ya kuchoma,mayai,matunda n.k
usiwasahau wakinga[/QUOTE
Kina walevi Kama wachaga pita bar za kimara pale zote 90% zimejaa wachagaAcha ulevi na uhuni wa kuhonga wake za watu utatajirika
uko mbioni kujaNa ambao tupo mbioni kufanikiwa tunaruhusiwa kuja?
Wazaramo na Walatino hamjatupana.😆Kila Kabila Na karama yake, karama yetu wazaramo ni kucheza Ngoma usiku Na mchana
Yeah nipo mbioni kufanikiwauko mbioni kuja
kuna KIJANA anakuja kasi kkoo anaitwa Bau aka Prosper sijui unamfahamu?
yap,jamaa yuko njema