Waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa waelekea Igunga

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,889
32,289
Nipo na jamaa zangu kutoka Ulaya, ambao ni waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa kutoka, Finland, Norway, Denmark, Estonia pamoja Lativia.

Jumatatu asubuhi tunaelekea Igunga kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga mkoani Tabora. Pia katika ujumbe huo tutakuwa na afisa wa masuala ya siasa, jinsia na haki za binadamu Dr Nilsen Michael, kutoka Sweden.

Tajitaidi kuwaletea habari za uchaguzi Jimbo la Igunga, na naomba mtuombee tufike salama Jimbo la Igunga Mungu ibariki Igunga Mungu ibariki Tanzania
 
we hata ukifa njiani huna hasara maana unakwenda kushiriki kuiba kura tu..
 
wewe unaenda kama nani?kufanya nini?kwanini eac hawajatoa waangalizi?nyie watalii tu hamna lolote.mbona hamja enda songea nchimbi alipokimbia na kura wala kutoa tamko?kwa ufupi nyie hamna macho na hamuwezi kuona chchote.hadi sasa hivi hamjamuona aliyepanda jukwaani na pistol?mbona hamjaona aliyepiga mfuasi wa cuf.hamna kitu hapo.mia
 
Ritz hauna credibility. You better stay where you are, otherwise their/your report will be rejected.
 
Sasa hao ni waangalizi wa CCM au? Maana cjaelewa we unakwenda nao ka nani or as ur friends? Or ndo mmeleta na nyie makomandoo.
 
Nipo na jamaa zangu kutoka Ulaya, ambao ni waangalizi wa uchaguzi wa kimataifa kutoka, Finland, Norway, Denmark, Estonia pamoja Lativia.

Ritz, hawa ni jamaa zako au ni wasimamizi?

Nifahamuvyo mimi wasimamizi ni independent body na wakishakuwa jamaa zako hao sasa sio wasimamizi tena

Ninalotarajia ni kuona wanatekeleza, kuandika na kureport "MoU" ambayo tayari na magamba yako mmeshawakabidhi...
 
Ritz, hawa ni jamaa zako au ni wasimamizi?

Nifahamuvyo mimi wasimamizi ni independent body na wakishakuwa jamaa zako hao sasa sio wasimamizi tena

Ninalotarajia ni kuona wanatekeleza, kuandika na kureport "MoU" ambayo tayari na magamba yako mmeshawakabidhi...

Nani kwa kuambia mimi ni Magamba!
Mimi ni Independent Thinker
 
cdm hatuhitaji waangalizi wa kimataifa.... hawa ni jamaa zake baba riz
ndo maana hakosi kwenda kwao.cc tutalinda wenyewe kama
tulivyofanya ubungo na kwingineko
 
naombea woote mkafie hapo sekenke mlimani ili muone jinsi gani miundo mbinu yetu ilivyo chakavu. Hasa wewe kiherehere ritz
 
Back
Top Bottom