Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
Katika khali ya kuuponda ushindi wa mezani wa JK waangalizi wa kimataifa wametoboa ya kuwa siyo sahihi hata kidogo kwa Raisi ambaye naye ni mgombea na chama chake kinagombea uchaguzi huohuo na hivyo kuwa mwenye masilahi mazito kwenye uchaguzi kuwa ndiye anayeteua Tume ya Uchaguzi yaani NEC..............chaguzi hiyo siyo ya huru wala ya haki hata kidogo.
SOURCE: MAJIRA ya leo
SOURCE: MAJIRA ya leo