Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wanajanvi naleta Mada hii mnisaidie niweze kuelewa hili! Hivi Marekani na Uengereza zinapofanya chaguzi zao kwanini haziombi kupelekewa waangalizi wa kimataifa kutoka kama Africa au Asia! Lakini sisi tunapofanya chaguzi zetu hututaka tualike waangalizi kutoka kwao hii inakaaje?