Martin Kemosabe
Senior Member
- Jan 28, 2020
- 168
- 78
Kuna movie niliangalia miaka kidogo imepita ila jina siikumbuki, naomba nisimulie kidogo story kisha kwa atakaeweza ifahamu naomba anisaidie kukumbuka jina la movie.
Story inaanza (ntasimulia nilipoikutia tu) kwahiyo mtaniwia radhi kama nitakuwa nimejichanganya changanya.
Kuna mdada mmoja alikuwa yupo na simu yake akawa ameingia chumbani kwake anatafuta nguo ya kuvaa, wakati anachagua chagua nguo ikaingia message saa hiyo mkononi kashika nguo, kusoma ile message akakuta ameambiwa (hilo gauni lizuri livae litakupendeza) yule dada akawa anashangaa sana akaangalia huku na kule hamna mtu.
Baadaye akam-text yule aliemtumia message kumuuliza wewe nani? Sijui alijibiwa au lah sikumbuki, basi dada akavaa ile nguo, alipomaliza kuvaa akavaa na viatu mara message ikaingia tena kwenda kusoma akakuta yule mtu alomsifia saivi anamsifia tena kuwa kapendeza sana sana, basi yule dada akawa anashangaa sana mpaka hapo hajui anaemtumia message na wala hamuoni anaemtumia message.
Maisha ya yule dada yaliendelea vile vile kuchati na yule mtu sijui waliishia wapi ilikuaje na mwisho ikaendaje, naombeni msaada wenu wapenda movie wote msaada wenu unahitajika hapa.
NOTE: Sio Bongo Movie
Story inaanza (ntasimulia nilipoikutia tu) kwahiyo mtaniwia radhi kama nitakuwa nimejichanganya changanya.
Kuna mdada mmoja alikuwa yupo na simu yake akawa ameingia chumbani kwake anatafuta nguo ya kuvaa, wakati anachagua chagua nguo ikaingia message saa hiyo mkononi kashika nguo, kusoma ile message akakuta ameambiwa (hilo gauni lizuri livae litakupendeza) yule dada akawa anashangaa sana akaangalia huku na kule hamna mtu.
Baadaye akam-text yule aliemtumia message kumuuliza wewe nani? Sijui alijibiwa au lah sikumbuki, basi dada akavaa ile nguo, alipomaliza kuvaa akavaa na viatu mara message ikaingia tena kwenda kusoma akakuta yule mtu alomsifia saivi anamsifia tena kuwa kapendeza sana sana, basi yule dada akawa anashangaa sana mpaka hapo hajui anaemtumia message na wala hamuoni anaemtumia message.
Maisha ya yule dada yaliendelea vile vile kuchati na yule mtu sijui waliishia wapi ilikuaje na mwisho ikaendaje, naombeni msaada wenu wapenda movie wote msaada wenu unahitajika hapa.
NOTE: Sio Bongo Movie