Waandishi wetu wa habari, Rutto na Museveni wako Arusha, mna kifua cha kuwauliza maswali kuhusu kutekwa kwa Kiiza Byesigye? Labda Pasco Mayala tu!

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
16,055
27,183
Hivi karibuni mwanasiasa wa upinzani Kiiza Byesigye alitekwa nchini Kenya na akasafirishwa mpela mpela mpaka Uganda.

Viongozi wa nchi hizo sasa wako Arusha kwa shughuli za jumuiya.

Nani atahoji viongozi hao kuhusu utekaji vs mkataba wa jumuiya pamoja na haki za binadamu?

Pasco anaweza, kwa kuwa walau alikuwa na ubavu wa kumuhoji maswali JPM maswali mazito katika wakati ambao hakuna ambaye angejaribu.

Kikeke? Yuko anazindua infrastructure bond.

Jacton Manyerere? Alipewa fursa na JPM aulize swali akaishia kuomba mwaliko wa kunywa wiski ikulu.

Ayoub Rioba? Bado ana chakula mdomoni, hawezi kuongea kwa sasa!
 
Hivi karibuni mwanasiasa wa upinzani Kiiza Byesigye alitekwa nchini Kenya na akasafirishwa mpela mpela mpaka Uganda.

Viongozi wa nchi hizo sasa wako Arusha kwa shughuli za jumuiya.

Nani atahoji viongozi hao kuhusu utekaji vs mkataba wa jumuiya pamoja na haki za binadamu?

Pasco anaweza, kwa kuwa walau alikuwa na ubavu wa kumuhoji maswali JPM maswali mazito katika wakati ambao hakuna ambaye angejaribu.

Kikeke? Yuko anazindua infrastructure bond.

Jacton Manyerere? Alipewa fursa na JPM aulize swali akaishia kuomba mwaliko wa kunywa wiski ikulu.

Ayoub Rioba? Bado ana chakula mdomoni, hawezi kuongea kwa sasa!
Subiri makanjanja wakurupukeee
 
Hivi karibuni mwanasiasa wa upinzani Kiiza Byesigye alitekwa nchini Kenya na akasafirishwa mpela mpela mpaka Uganda.

Viongozi wa nchi hizo sasa wako Arusha kwa shughuli za jumuiya.

Nani atahoji viongozi hao kuhusu utekaji vs mkataba wa jumuiya pamoja na haki za binadamu?

Pasco anaweza, kwa kuwa walau alikuwa na ubavu wa kumuhoji maswali JPM maswali mazito katika wakati ambao hakuna ambaye angejaribu.

Kikeke? Yuko anazindua infrastructure bond.

Jacton Manyerere? Alipewa fursa na JPM aulize swali akaishia kuomba mwaliko wa kunywa wiski ikulu.

Ayoub Rioba? Bado ana chakula mdomoni, hawezi kuongea kwa sasa!
Kati ya kitu anachojutia mzee wetu pascal ni hicho vingi vimempita sana tangu siku hiyo aliomhoji JPM Leo hii angekuwa zaidi ya hapa alipo

All in all ni kazi yake pia napenda kufatilia vipindi vyake vya mahojiano 8 8 , 7 7 n.k
 
Back
Top Bottom