Waandishi wengi wa habari Tanzania hawajui Kingereza hata cha kuokoteza? Why?

Kuna vojamaa fulani vipo kwenye online tv za michezo kuna BM na nyingine yaani hajui chochote kuhusu tense wala nini akija kocha wa timu za kigeni ni fool aibu halafu majamaa ni kajasiri wala hakaugopi kamamuwekea mic huku anaweza maneno kama yule mtangazaji wa ghana anayeitania liverpool
 
Rais wao najua alisoma chemistry , lakini mwandishi jambo analotakiwa kujua ni lugha mbalimbali kama mpishi anavyo jua viuongo mbalimbali kwa mapishi

Kwa hilo namsifu mama kwakweli ni English teacher mpaka kastaafu.
Ungenge nagonga mpaka wa kichochoroni.
Kuna watu wakubwa tu humo serikalini anaweza kupigwa swali jepesi tu kwa ungenge akachemka.
Ukute ni Phd holder ni kuchukulia easy tu
 
Dr. Mwamyembe alikuja suluhisho mkamjia juu. Alitaka kila mwandishi awe na Degree.
Leo hii ukienda chuo chaa habari unataka kujiunga kasome matangazo yao ndio utajua tatizo linaanzia wapi
"Tunatangaza nafasi ya kozi ya uandishi wa habari ngazi ya cheti. Kozi ya miezi mitatu/sita
Sifa. Uwe umefaulu kidato cha nne angalau kwa D moja.. Ukimaliza kozi tunakutafutia na ajira"
 
Sisi tunataka maendeleo -- miundombinu kama barabara, huduma za maji, afya na elimu na furaha ya kujivunia kuwa mwanadamu mwenye utu na thamani kote ulimwenguni, pasi kujali rangi, itikadi, lugha, mahali anakotoka, nk
 
Asee...
Kabla ya kukomenti nimejaribu kupitia baadhi ya waliotangulia wameandika nini, kwa kifupi nimeona lawama na dharau kwa wanahabari wetu.

Ni kweli kuna ombwe la lugha ya kizungu kwa wanahabari hilo siyo la kuuma uma maneno au kusingizia taaluma imekaa kichwani hakuna haja ya lugha.

Asilimia flani ya waandishi wana tatizo kubwa la lugha kama mtoa mada anavyosema na hili ni pale inapotokea kufanya mahojiano, unaweza usione mwandishi au akawepo mmoja.

Hoja ya wale wanaoongelea taaluma nyingine kwa mada hii siyo sahihi hapa ni waandishi na swali nini kifanyike?.
 
Mwandishi yeyote wa habari jambo kubwa analo takiwa kulijua ni lugha na sio moja.

Sasa Tanzania kuna tatizo gani kwa waandishi wengi wa habari kuto jua kingereza?

Alikuja Rais Obama, wakashindwa kuuliza maswali kwa sababu ya ung'eng'e.

Tumeona pia baadhi ya wageni wakija waandishi wa habari wananikanyaga balaa utadhani wote waliishia darasa la pili?

Tatizo wapi? Mfumo wa elimu au nini?

Wizara ya habari na vyuo hili linawahusu.

View attachment 1719399
Si wanasema wanaajili vipaji siyo elimu🚶🚶
 
Usiwe na mawazo ya kibinafsi.. nchi hii kingereza ni muhimu sana kama kilivyo kiswahili.. maendeleo ya nchi hii yanaendeshwa kwa lugha 2.

Usikichambe kingereza kwa sababu hukijui..
Hivi wewe unafikiri kiingereza ndiyo kila kitu? Sijui tatizo la akili za kitumwa litawatoka lini.
 
Upp sahihi lakini swala sio kuwa na degree swala ni mkazo wa lugha kwenye uandishi wa habari.

Vigezo vya mtu kuwa mwandishi wa habari lazima viqe kwenye lugha.

Na kwa kuwa Tanzania ni nchi ya lugha 2, m2andishi wa habari lazima awe mzuri kwenye lugha zote..

Cha ajabu kuna waandishi hata kiswahili hawakijui.

Dr. Mwamyembe alikuja suluhisho mkamjia juu. Alitaka kila mwandishi awe na Degree.
Leo hii ukienda chuo chaa habari unataka kujiunga kasome matangazo yao ndio utajua tatizo linaanzia wapi
"Tunatangaza nafasi ya kozi ya uandishi wa habari ngazi ya cheti. Kozi ya miezi mitatu/sita
Sifa. Uwe umefaulu kidato cha nne angalau kwa D moja.. Ukimaliza kozi tunakutafutia na ajira"
 
Asante kwa mchango mzuri
Asee...
Kabla ya kukomenti nimejaribu kupitia baadhi ya waliotangulia wameandika nini, kwa kifupi nimeona lawama na dharau kwa wanahabari wetu.

Ni kweli kuna ombwe la lugha ya kizungu kwa wanahabari hilo siyo la kuuma uma maneno au kusingizia taaluma imekaa kichwani hakuna haja ya lugha.

Asilimia flani ya waandishi wana tatizo kubwa la lugha kama mtoa mada anavyosema na hili ni pale inapotokea kufanya mahojiano, unaweza usione mwandishi au akawepo mmoja.

Hoja ya wale wanaoongelea taaluma nyingine kwa mada hii siyo sahihi hapa ni waandishi na swali nini kifanyike?.
 
Mwandishi yeyote wa habari jambo kubwa analo takiwa kulijua ni lugha na sio moja.

Sasa Tanzania kuna tatizo gani kwa waandishi wengi wa habari kuto jua kingereza?

Alikuja Rais Obama, wakashindwa kuuliza maswali kwa sababu ya ung'eng'e.

Tumeona pia baadhi ya wageni wakija waandishi wa habari wananikanyaga balaa utadhani wote waliishia darasa la pili?

Tatizo wapi? Mfumo wa elimu au nini?

Wizara ya habari na vyuo hili linawahusu.

View attachment 1719399
Kiswahili ndio lugha ya taifa
 
Kingereza na Kiswahili vyote ni lugha rasmi Tanzania. Na ndio lugha za kitaaluma, utawala na kibiashara.


Tuache tabia ya kukichukia kingereza kwa sababu hatukijui.

Mbona wanao kijua hawakichukii?
Kiswahili ndio lugha ya taifa
 
Back
Top Bottom