Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,110
Akamuulize Diallo na Ruge. Shetani hana rafiki.Unadhani uko salama sana wakati wengine wakiumizwa???
Akamuulize Diallo na Ruge. Shetani hana rafiki.Unadhani uko salama sana wakati wengine wakiumizwa???
Mmebaki kupiga kelele mtandaoni. Mnampa kichwa huyo Lisu halafu akiswekwa selo hata uji tu hamumpelekei.Afu huwa mnajifanyaga hamnazo. TL ana jeshi? Mbina akitokaga rumande wote humu mnakimbia? Ile namba ingine kwa hoja.
Ccmscrow mnaongoza kwa vioja na mabavu. Na kununua mikweche ya ndege
Kabisa.Unadhani uko salama sana wakati wengine wakiumizwa???
As if we upo jukwaani. Huwaga Lumumba mpo wajinga tu? Ah! Na wapumbavu pia mpo kama lile BONGE NYANYA.Mmebaki kupiga kelele mtandaoni. Mnampa kichwa huyo Lisu halafu akiswekwa selo hata uji tu hamumpelekei.
Hasira nyingii, ha ha ha.As if we upo jukwaani. Huwaga Lumumba mpo wajinga tu? Ah! Na wapumbavu pia mpo kama lile BONGE NYANYA.
Kweli we ni mpumbavu,nakuonea huruma. Uelewa mdogo.Mpelekee Lisu uji huko sero kesho.
we wa bugabo me wa ishunjuYeah si mbali sana na maeneo hayo, nliwahi kuwa navuka hapo naenda maeneo huko Ishozi, Ishunju etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nikweli,hii nihatari mkuuMkuu nakuhakikishia raisi wako anaamrisha kila kinschotokea. Kama ulimchagua ujue Majuto mjukuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
edit: point of correction: sio 2017-2020 tafadhali ni 2017-2025.Hahahah
Maana yake watu watazikwepa habari za Lissu, kuishi Tanzania 2017-2020 ni kazi sana
Wewe unasema Rais analijua hilo, wakati hayo mambo ni yeye ndiye anayeyaagiza?Sitaki kuamini kama tumefika hapa,ivi raisi wetu anayajua haya? Au watendaji wake ndio hujiamulia kufanya haya? Nakama raisi wetu anayajua haya nikweli hajui umuhimu wa democrasia na uhuru wakujieleza?? Sitaki kuamini kama magufuri anaogopa kukosolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu jana amekamatwa mara ya nane (8) kuanzia June mwaka jana na hajawahi kupatikana na Hatia, Ubunifu ni Muhimu sana katika jambo lolote..
======
Dar es Salaam. Baadhi ya waandishi wa habari walioripoti mkutano wa Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, uliofanyika Jumatatu ya wiki hii wamehojiwa na polisi.
Lissu ambaye pia ni Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, (TLS) alifanya mkutano huo Jumatatu wiki hii ambapo pamoja na mambo mengine alilaani kukamatwa kwa wanachama wa Chadema.
Leo, Ijumaa, Julai 21, Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Ibrahim Yamola amehojiwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi ambao walifika katika ofisi za gazeti hilo.
“Walitaka nifike Polisi Makao Makuu lakini tukakubaliana watakuja hapa ofisini kwetu asubuhi, wamekuja na wamenihoji kuhusu mkutano huo,” amesema.
Yamola amesema watu hao walimuhoji mazingira ya mkutano huo, maneno aliyoyatamka Lissu na namna walivyoichapisha habari hiyo siku ya pili.
Inaelezwa kuwa mwandishi mwingine wa gazeti la Mtanzania, Aziza Masoud naye anatarajia kuhojiwa baadaye leo.
Sent using Jamii Forums mobile app