Habari sana jamvi.
Niliposti uzi kwenye jukwaa elimu nikiomba waandishi wa vitabu wanaoandika kwa lugha ya Kiingereza katika masuala ya Historian, makabila ya Tanzania, tamaduni, mila na desturi, hadithi na mbo ka hayo lakini hakuna aliyejitokeza. Nimeamua kuja tena kwenye jukwaa hili. Nataka kutafsiri vitabu vya aina hiyo kwa Kijerumani kwa ajili ya soko la Ujerumani na Uswisi. Nimetafuta namba ya simu ya Umoja wa Waandishi w Vitabu (UWAVITA) lakini niliyopata ni ya zamani.
Niliposti uzi kwenye jukwaa elimu nikiomba waandishi wa vitabu wanaoandika kwa lugha ya Kiingereza katika masuala ya Historian, makabila ya Tanzania, tamaduni, mila na desturi, hadithi na mbo ka hayo lakini hakuna aliyejitokeza. Nimeamua kuja tena kwenye jukwaa hili. Nataka kutafsiri vitabu vya aina hiyo kwa Kijerumani kwa ajili ya soko la Ujerumani na Uswisi. Nimetafuta namba ya simu ya Umoja wa Waandishi w Vitabu (UWAVITA) lakini niliyopata ni ya zamani.