Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,871
Hebu ona Elimu yake:
BSc(ed) Botany, Zoology and Education, Masters of Business Administration(MBA) and certificate in Linguistics (Cert. Ling)
Hivi kweli kwa elimu hii unaweza kuandika vitabu vya Kemia? Hata kama ni ku-copy na ku-paste nadhani si sawa! Ndiyo maana vitabu vyako vya maswali na majibu ya kemia vinatufanya tufeli somo hilo, walimu wa sayansi hatuna, waandishi wa vitabu ndiyo sampuli hii, tukimbilie wapi jamani?
BSc(ed) Botany, Zoology and Education, Masters of Business Administration(MBA) and certificate in Linguistics (Cert. Ling)
Hivi kweli kwa elimu hii unaweza kuandika vitabu vya Kemia? Hata kama ni ku-copy na ku-paste nadhani si sawa! Ndiyo maana vitabu vyako vya maswali na majibu ya kemia vinatufanya tufeli somo hilo, walimu wa sayansi hatuna, waandishi wa vitabu ndiyo sampuli hii, tukimbilie wapi jamani?