iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Hii ni fursa kwa waandishi wa habari za uchunguzi kuingia "chimbo" wakiwa na ripoti ya dk Mwele Malecela mkononi,waandishi watembelee mikoa na hospitali zilizohusika na utafiti,wawahoji(na kuficha utambulisho)wa madaktari wa mikoa hiyo,ma nesi wa wodi za wazazi,na ikibidi wawasake watoto waliokutwa na dalili za ZIKA,wawahoji wazazi wao,na ikibidi,wapewe nakala ya vyeti kuthibitisha kwamba wamepatikana na ZIKA.
Najua ni mtihani kwa waandishi hasa kipindi hiki ambacho tasnia yao iko machoni pa wakubwa
Najua ni mtihani kwa waandishi hasa kipindi hiki ambacho tasnia yao iko machoni pa wakubwa