Waandishi wa habari za uchunguzi,chukueni ripoti ya Dk Mwele,ingieni mtaani muwahoji waliopimwa ZIKA

Soma vizuri hitimisho ndugu yangu.
Kwani NIMR wao wapo kama gwaride la Jeshi siku ya Uhuru. Sheria iliyowaunda inakataza kutangaza tafiti zao ?
Ni utafiti wa kwanza NIMR kuutangaza kama sio kwa nini huu ndio umekosewa ?
Kwanini hamuweki hiyo code of conduct aliyoivunja ili kuweka wazi ukweli.

Hitimisho la utafiti liko wazi kabisa na halisemi utafiti zaidi kujua ukweli wa kuwapa watz wenye virusi vya Zika Bali kujua athari za virusi vya Zika
Tusipotoshe utafiti
Natafuta ile attachment ya paper yenyewe. Hebu ilete kama umeiona. Ile thread sioni. Soma kwenye conclusion
 
Natafuta ile attachment ya paper yenyewe. Hebu ilete kama umeiona. Ile thread sioni. Soma kwenye conclusion
Conclusion ilihusu utafiti zaidi kuhusu athari walizoziona kwenye maumbile ya watu kama ni matokeo ya kuwepo kwa virusi vya Zika. Haikuwa utafiti zaidi kutnibitisha kuwepo kwa virusi vya Zika. Wamegumdua kuwepo kwa virus na ndio ilikuwa scope lakini wanashauri.utafiti zaidi kuhusu athari za kuwepo kwake
Hiyo paper nimeisoma lakini sinayo
 
Conclusion ilihusu utafiti zaidi kuhusu athari walizoziona kwenye maumbile ya watu kama ni matokeo ya kuwepo kwa virusi vya Zika. Haikuwa utafiti zaidi kutnibitisha kuwepo kwa virusi vya Zika. Wamegumdua kuwepo kwa virus na ndio ilikuwa scope lakini wanashauri.utafiti zaidi kuhusu athari za kuwepo kwake
Hiyo paper nimeisoma lakini sinayo
Wenye fani yao watakuambia hao virus wapo wengi tu na mutations zao. Issue kubwa ni hiyo athari. Hata bacteria wapo wengi tu. Wengine ni beneficial. Issue inakuwa pole wanapoleta madhara.
Presentation ya Mwele inaashiria kuonyesha kuwepo kwa athari pale unapotajwa ugonjwa za Zika. Again, communicating science findings si kazi ndogo. Tukubali hilo.
 
Daaaah!! Watanzania wanaogopa kusema ukweli kama wanavyogopa kuonja sumu.
 
Wenye fani yao watakuambia hao virus wapo wengi tu na mutations zao. Issue kubwa ni hiyo athari. Hata bacteria wapo wengi tu. Wengine ni beneficial. Issue inakuwa pole wanapoleta madhara.
Presentation ya Mwele inaashiria kuonyesha kuwepo kwa athari pale unapotajwa ugonjwa za Zika. Again, communicating science findings si kazi ndogo. Tukubali hilo.
Mimi sisemi nikazi ndogo kuwakilisha matokeo ya tafiti za kisayansi. Na natambua kuwepo kwa kanuni za kufuata kabla,wakati na uwakilishaji wa matokeo.
Kama Dr. mwele alikiuka kanuni hizo za kitaalam ndio ahukumiwe kwazo lakini sio kwa kuwakera wanasiasa.
Virus kuwepo na Bakteria pia sio Hoja kuu
Hoja ni virus wa zika kuwepo Tanzania na hicho ndicho Dr. Mwele alikitolea taarifa za utafiti. Kosa lake ni kufanya utafiti au utafiti kuonyesha kuwepo kwa Virus vya Zika ?
Au ni kule kuweka wazi utafiti wake ?
 
Mama'ngu alikuwa akiniambia "kuwa uyaone".

Sijapatapo kuona ushauri wa upuuzi kama huu.
 
Hii ni fursa kwa waandishi wa habari za uchunguzi kuingia "chimbo" wakiwa na ripoti ya dk Mwele Malecela mkononi,waandishi watembelee mikoa na hospitali zilizohusika na utafiti,wawahoji(na kuficha utambulisho)wa madaktari wa mikoa hiyo,ma nesi wa wodi za wazazi,na ikibidi wawasake watoto waliokutwa na dalili za ZIKA,wawahoji wazazi wao,na ikibidi,wapewe nakala ya vyeti kuthibitisha kwamba wamepatikana na ZIKA.

Najua ni mtihani kwa waandishi hasa kipindi hiki ambacho tasnia yao iko machoni pa wakubwaView attachment 447328
Jama naombeni kuwauliza swali hivi mnamkumbuka yule mama miaka ya nyuma aliyetokea Mwanza kama nitakuwa nimekosea mkoa mtanisahihisha aliyekuwa na watoto watano woote walikuwa na vichwa vidoogo na masikio makuubwa alikuwa akishiishi mitaa ya pale ubungo terminal baadae akahamia Kariakoo kwani watoto walikuwa na tatizo gani? Nauliza tu jama kwa wasomi wa humu ndani.
 
Hakuna waandishi wa habari Tanzania. Ova!
Hakuna Waandishi Wa Habari Za Uchunguzi Tanzania - Labda Za Udaku Maana Wao Huwa Wanaweka Kabisa Na Picha Za Mafumanizi.

- Hakuna Mwandishi Wa Habari Anayejua Alipo Faru John

- Hakuna Mwandishi Anayejua Waliokufa Ruvu Wamekufaje

- Hakuna Mwandishi Aliyejua Mbowe, Mdee Na Mnyika Wanafili Twiga Bancorp

- Hakuna Mwandishi Alijua Mhasibu Wa Polisi Anakula Mabilioni Ya Watumishi Hewa

- Hakuna Mwandishi Aliyejua Makontena Yanapita Free Bandarini

- Hakuna Mwandishi Aliyejua Mtu Wa TRA Anakula Milioni 17 Kwa Dakika

- Hakuna Mwandishi Anayejua ............

TANZANIA KUNA WAANDISHI NJAA TU
 
Sasa kama sampuli zinaonyesha wana ZIKA virus,maana yake tayari ZIKA IPO Tanzania

Waandishi wakawahoji hao hao,hasa wazazi

Aisee kichwa chako kikoje mbona unakuwa mgumu kuelewa?, iko hv ukifanya mapenzi na mwenye vvu na wewe ukapata hivo virusi kabla hujaanza kuumwa (UKIMWI) mama yako akiulizwa atajibu nini? au watu wengi sana vijidudu vya malaria ila hajaanza kuumwa ukiwauliza kuhusu malaria watakujibu nini?. mtu kuwa na virusi vya ZIKA haimaanishi anaumwa na hata ukimuuliza dokta hatakwambia kitu maana huyo mtu haumwi ila ana virus tu.
 
Back
Top Bottom