RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Kunatetesi kwamba waandishi wa habari wanajua siri nyingi za nchi inavyoibiwa lakini hawasemi kwa vile wanapewa pesa na wa kubwa, kwa maana kwamba wanatumika sana kuficha maovu. je tetesi hizi ni ukweli kiasi gani?