Kwa mfumo huu tunaokwenda nao wa kujiongoza wenyewe hakuna tatakapofika. Yaani viongozi wakiwepo na wasipokuwepo hakuna tofauti sasa tutabadilishaje hali ya mambo?
kati ya mambo ambayo niliyatafakari ni amri kwa waandishi wa habari walioalikwa na mgeni al adawi
amri waliyopewa kwamba jamaa wasimpige picha imewadhalilisha wahusika na imetudhalilisha sisi watanzania wengine
nadhani ni kitu kilichoratibiwa na nadhani iliwezekana tu kwa sababu walikuwa wateule na pengine walipewa bahasha ili wakubaliane na matakwa hayo,jamani kama wanajulikana sio vibaya tukawajua ili habari zao na mienendo yao tuifuatilie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.