Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 296
- 507
Uandishi wa uhakika huwezi kuwa rafiki na Mamlaka, Kuna siku moja Trump alikuwa anaishambulia CNN kwa Twitter kuwa badala ya kuitangaza vizuri Marekani na miradi yake ya kiuchumi chombo hicho kimekazana kupambana na Utendaji wa Rais na proganda zingine.
Muda huo huo CNN wakamjibu Tena kwa kumtag kwenye Twitter (Sio kazi yetu kuitangaza vizuri Marekani Duniani hiyo ni kazi ya Rais na serikali yake kazi yetu ni kuripoti na kuandika UKWELI TU)
Tanzania Tundu Lissu alidanganya Umma kuwa Katavi Ndege haziji na uwanja umeota nyasi badala ya Wandishi kwenda uwanjani kuripoti, walisubiri mpaka Mkuu wa mkoa alipoenda.
Rais wa Tanzania Hayati Magufuli katika mapambano ya ufisadi Kuna viambulensi vilikamatwa Bandari ya Dar, baadaye tukaanza kupishana navyo halmashauri hakuna aliye hoji kulikoni? Vilikuwa vya Nani Kama vimetaifishwa sawa kutoka kwa Nani? Leo nimeangalia TBC taarifa ya habari sukari guru imekamatwa ni yatangu 2019 kontena tano je Nani ana miliki?
Kwanini Sukari imekaa tangu 2019 bandarini mpaka imeharibika Nini kilitokea?
Muda huo huo CNN wakamjibu Tena kwa kumtag kwenye Twitter (Sio kazi yetu kuitangaza vizuri Marekani Duniani hiyo ni kazi ya Rais na serikali yake kazi yetu ni kuripoti na kuandika UKWELI TU)
Tanzania Tundu Lissu alidanganya Umma kuwa Katavi Ndege haziji na uwanja umeota nyasi badala ya Wandishi kwenda uwanjani kuripoti, walisubiri mpaka Mkuu wa mkoa alipoenda.
Rais wa Tanzania Hayati Magufuli katika mapambano ya ufisadi Kuna viambulensi vilikamatwa Bandari ya Dar, baadaye tukaanza kupishana navyo halmashauri hakuna aliye hoji kulikoni? Vilikuwa vya Nani Kama vimetaifishwa sawa kutoka kwa Nani? Leo nimeangalia TBC taarifa ya habari sukari guru imekamatwa ni yatangu 2019 kontena tano je Nani ana miliki?
Kwanini Sukari imekaa tangu 2019 bandarini mpaka imeharibika Nini kilitokea?