Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Mungu waadabishe, waongezee njaa na dhiki waandishi wa habari wa Tanzania, WANAFIKI..amen
Mungu waadabishe, waongezee njaa na dhiki waandishi wa habari wa Tanzania, WANAFIKI..amen
Mungu waadabishe, waongezee njaa na dhiki waandishi wa habari wa Tanzania, WANAFIKI..amen
Kibonde nae kumbe ujanja wake ni kwenye jahaz akiwa na gadna?
Kumbe poyoyo tu,hana lolote,swali gani hlo anauliza?
Bora ukajiunge na mipasho ya akina mama. . . !
Waandishi walitulia utadhani wanajiandaa kwenda kuchinjwa.... Hivi kweli unamuaga mkeo unaenda ktk mdahalo ndo unaishia kusinzia kama li koyoyo... Wajameni nashindwa kuelewa yale maswali walipewa au? Inaonekana wote walikuwa wanaliogopa neno FISADI na hivyo kusababisha mdahalo wote ushindwe kutuliza mzuka wa Dr Slaa na hivyo kumuweka juu zaidi.JK amewamaliza wanahabari waliokuwa wanajifanya nana weledi. He has reduced them to beggers. Si wangesingizia wanaumwa kuliko kwenda kujiaibisha kuuliza maswali ya kichinachina waliyokaririshwa?