GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,468
- 108,621
- Thread starter
- #121
Mkuu almost kila swali hapo kaulizwa na kulijibu barabara kabisaaa, isipokuwa swali la tano. Hilo la tano ni zuri kwa sababu hatujawai kujua msimamo wa Lissu juu ya kuhamia dodoma. Swali la nne, hilo lilitakiwa liulizwe na kada wa CCM kweny vijiwe vya kahawa, na sio kweny media halafu kwa mwandishi ambaye ni certified critical journalist, kwa sababu lipo nje ya "journalism ethics as a professional". Mwandishi wa habari mwenye weledi unauliza vipi swali la hivo, wakati unajua chama kipo kwa mujibu wa katiba na sheria za uanzishwaji wa vyama vya siasa, utaonekana mzemb na hujajishughulisha kusoma, na haujatofautisha kati ya propaganda na news, so far hujui "criteria to determine news".
Hapo kwa SAUT, let complement you....nafundushwa na product mbili za SAUT kama lecture wangu kweny somo la public relations and marketing....they are so bright !
Ukiona hadi Chuo Kikuu GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ( Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo ) Mimi nimesoma jua hapo kuna 'Geniuses' tu.