Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Kuna muda uwa hadi naona aibu kwa maswali mtu anayomuuliza mtu.Hebu fikiria wanapokutana na mtu mzima ambae ni director wa shirika au kampuni fulani wanaanza kuuliza bila shaka una mahusiano, nguo ulizovaa zinagharimu kiasi gani yaani inakua aibu