Ndugu zangu Watanzania Wenzangu, Vyombo vya habari ni muhimu sana katika maendeleo ya Taifa lolote.Aidha vyombo vya habari kuwa na msimamo wa kuunga mkono chama cha siasa sio jambo la ajabu dunia nzima ni kawaida kabisa. Hoja yangu leo inatokana na hoja kuwa kuna waandishi mnanunuliwa na watu binafsi kwa maslahi yao na mnaacha taaluma zenu.
Angalia gazeti la Tanzania daima na mwandishi anaitwa ASHA BANI , toka juzi namna anavyoripoti unaona wazi kabisa ana maslahi na hiyo Kampuni ya asante tours ( Naomba kusahihishwa kama sijaiandika vema , ila ni kampuni hiyo inayotetewa na Nyalandu).
Kampuni hailipi tozo za hifadhi na imeondolewa kwenye kutoa huduma ndani ya mlima kilimanjaro, lakini anagalia gazeti la leo la Tanzania daima wanajaribu kuiponda menejimenti na bodi ya TANAPA kwa maamuzi yao ya kulinda fedha za shirika,ASHA BANI alivyoripoti kuwa TAKUKURU wapokea faili la TANAPA, uhandishi wa kimaslahi kabisa, kwa taarifa za kiserikali nilizonazo na za uhakika ni kuwa serikali imeamuru kampuni hiyo ilipe madeni yake kwanza ili iendelee kutoa huduma, na nawahakikishia umma wa JF hakuna uchunguzi wowote wa TAKUKURU juu ya suala hilo sababu TANAPA wanalinda maslahi ya kampuni zote za utalii na fedha za shirika. Hapa inaonekana ASHA kishakula pesa ya hao jamaa wa asante tours na sasa anajaribu kwa kila namna kuonesha habari yao imetoka gazetini. Mhariri wa Tanzania daima kama yupom makini baada ya kuona maoni ya Mwenekiti wa kamati ya Bunge ya mali asili alitakiwa kuchunguza jambo hili kabla ya kuruhusu habari hii kuendelea kuchapishwa kwa mtazamo wa mwandishi wake.
Ushauri wangu kwa wahariri , waangalieni sana waandishi wenu na muwe mnathibitisha habari wanazowapa kabla ya kuzichapisha, vinginevyo taaluma ya habari Tanzania inakosa mwelekeo kwa waandishi wanaopokea pesa ili kuandika kile mwenye pesa alichokutuma.Tanzania daima mchunguzeni Bani kala rushwa.
Angalia gazeti la Tanzania daima na mwandishi anaitwa ASHA BANI , toka juzi namna anavyoripoti unaona wazi kabisa ana maslahi na hiyo Kampuni ya asante tours ( Naomba kusahihishwa kama sijaiandika vema , ila ni kampuni hiyo inayotetewa na Nyalandu).
Kampuni hailipi tozo za hifadhi na imeondolewa kwenye kutoa huduma ndani ya mlima kilimanjaro, lakini anagalia gazeti la leo la Tanzania daima wanajaribu kuiponda menejimenti na bodi ya TANAPA kwa maamuzi yao ya kulinda fedha za shirika,ASHA BANI alivyoripoti kuwa TAKUKURU wapokea faili la TANAPA, uhandishi wa kimaslahi kabisa, kwa taarifa za kiserikali nilizonazo na za uhakika ni kuwa serikali imeamuru kampuni hiyo ilipe madeni yake kwanza ili iendelee kutoa huduma, na nawahakikishia umma wa JF hakuna uchunguzi wowote wa TAKUKURU juu ya suala hilo sababu TANAPA wanalinda maslahi ya kampuni zote za utalii na fedha za shirika. Hapa inaonekana ASHA kishakula pesa ya hao jamaa wa asante tours na sasa anajaribu kwa kila namna kuonesha habari yao imetoka gazetini. Mhariri wa Tanzania daima kama yupom makini baada ya kuona maoni ya Mwenekiti wa kamati ya Bunge ya mali asili alitakiwa kuchunguza jambo hili kabla ya kuruhusu habari hii kuendelea kuchapishwa kwa mtazamo wa mwandishi wake.
Ushauri wangu kwa wahariri , waangalieni sana waandishi wenu na muwe mnathibitisha habari wanazowapa kabla ya kuzichapisha, vinginevyo taaluma ya habari Tanzania inakosa mwelekeo kwa waandishi wanaopokea pesa ili kuandika kile mwenye pesa alichokutuma.Tanzania daima mchunguzeni Bani kala rushwa.