Mkuu kweli umeona mbali sana.
Maana naona wenzetu waandishi wa nje walivyo advanced kwa vitu kama hivi.
Mwandishi lazima achukue tahadhari kwenye matukio,yaani akiwa sehem salama basi huwa na ID ya kawaida na akiwa sehema ambayo anahisi lolote linaweza kutokea anavaa jacket maalum lenye nembo kumbwa PRESS.
Nimeona sana hizi Aljazeera,CNN na BBC.
Hapa kwetu tunaishia kulalamika tu,we kwenye vurugu kama ile nimeona jana,eti muandishi akiishakamatwa ndio anatoa kitambulisho na ilikuwa ngum kwa jinsi walivyo kumjua mwandishi nani na asie mwandishi nani.
Kuna mmoja alinifanya nichecke eti anamuonyesha askari Camera eti ona hii Camera mie ni mwandishi wa Habari,duuhh nikasema hii kazi kweli.
Nahisi tujipange,sio tutafute habari za kuuza kwa kujiegesha kwenya mietgo ya Polisi.
Mwandishi kuwa na thamani ni jinsi unavyojiweka kama mwanahabari katika mapinduzi ya sekta ya Habari.